Nape aanza nyodo kwa wananchi. Anatoa majibu ya shombo

Nape aanza nyodo kwa wananchi. Anatoa majibu ya shombo

Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Yaani leo nime weka bundle ya 1.5gb zimeisha ndani ya masaa mawili.
Shikamoo voda!!!
 
Jamaa anapenda kujikweza na anahisi pale lumumba na ccm kwa ujumla kama mali ya urithi wa baba yake.

Nje ya cheo anajifanya ana akili sana.
Baada ya kuondolewa uwaziri wa mambo ya ndani kuna siku nilimkuta kaharibikiwa gari porini njia ya Moro Dar. Na kwa nafasi aliyoipata atahakikisha anaiba ili awe kama Ruto. Tutegemee mauaji makubwa kwa wanaompinga
 
Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mmh! Mkuu pole kwa kuchafukwa.
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mshukuru mnaongoza watu wasiojitambua,ndio maana mnatoa majibu ya ki*** ila ipo siku.
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mkuu ila unajitahidi aise kwa mashambulizi ya saizi na yanayo kuja sijui kama utatoboa watu wamechafukwa usifanye utani kama wewe unaziotea bora ukae kimya tu.
 
Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba na January Makamba hamna kitu mule.Ndio wapo kwenye Baraza la Mawaziri kama washauri wa Rais, nchi inakwenda mrama kwenye uchumi muda si mrefu.Wait and see.
 
Mkuu ila unajitahidi aise kwa mashambulizi ya saizi na yanayo kuja sijui kama utatoboa watu wamechafukwa usifanye utani kama wewe unaziotea bora ukae kimya tu.
Jibu hoja kwanza ndio tuendelee na mambo mengine..

Ipi kubwa elfu 3 Kwa mil.3 au 20,000 kwenye salary kila mwezi?
 
Mshukuru mnaongoza watu wasiojitambua,ndio maana mnatoa majibu ya kiseng* ila ipo siku.
Yaani hiyo ipo siku kwamba mtapiga Kofi la kulia harafu mnageuziwa na la kushoto au?

Narudia tena kukwambia majibu yanastahili wapumbavu kama nyie..

Yaani Serikali iache kupeleka huduma Vijijini ije kukusikiliza wewe taahira mmja wa huko mjini?
 

Nape hana washauri wazuri, au pengine anao ila hawamshauri au hasikilizi ushauri wao. Sio sahihi kwa kiongozi kijibizana jibizana na wananchi,tena muda mwingine anakuwa kama anawakejeli.

Wananchi wakiwa na hasira kiongozi unatakiwa uwe chini na utumie lugha ya upole kumtuliza mwananchi. Jibu mara chache pia, hapa ndio January huwa anawazidi mpaka anaonekana kuwa busara zaidi.

Anatakiwa pia apate ushauri wa kisaikolojia,naona kama kuna sehemu hayupo sawa.
 
Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Matusi aliyomtukana Lowassa huyu jamaa hayaandikiki hapa jf , ile laana ikimuacha huyu nitashangaa sana !
 
Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Huyu jamaa nilikuwa namkubali hata alipotolewa najiwe naimani nawatz wengi pamoja namimi niliumia sana kumbe jamaa wahovyo kabisa hivi anajuwa niwatz wangapi waliumia kipindi kile chajiwe alipo mtimua hayandio malipokweli ilawajuwe watatupa taabu sana kuizungumzia ccm mbele zawatu watapna mavuno wanayo panda
 
Back
Top Bottom