Nape aanza nyodo kwa wananchi. Anatoa majibu ya shombo

Nape aanza nyodo kwa wananchi. Anatoa majibu ya shombo

Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Oooo analamba asalii
Bregedia Mosses Naiwe kashamundalia njia ya kulambia asali,
Na ndio maana anakiburii,na hata akishindwa atatangazwaa.
Kama Mzee wa bumbulii

Watoto wa mama ,vipenzi vya Mama hao
Kipindi kile cha Mzalendo wa KWELI angethubutu aonee.

Yupo huku aje ajaribu kukanusha

Aone nimlipue
 
Mli
Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.

Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.

Nchi hii jamani! Acha tu.

View attachment 2327500
Mlimuona mwenda zake anamuonea huyu Vuvuzela amesahau alivyotembea kwa magoti kwenda kuomba msamaha ikulu.
 
Nape ana nyodo na kiburi nmewahi kushudia hili mwaka 2015 pale Dodoma makao makuu akiwa anawajibu shombo vijana wa Uvccm vyuo vikuu.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Kumbe unamjua ee?
Na anajibu wala hajali kabisa.
Yaani kama humfahamu, unaweza kuhisi ametoka familia bora ya kishua fulani hivi.
Kumbe mganga njaa tu kama sisi!
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Vipi wale tunaowatumia watoto wote Tsh 3000 za matumizi
 
Duh hata wewe ccm kindakindaki unalia gharama za maisha kwan si sa100 ameshafungua nchi au?
Nchi ameshaifungulia ila alichokutana nacho ni tofauti na matarajio🐒

SRky.gif
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Utakuja kufilibwa MPaka usikie utamu unaoutakaa

Sent from my Nokia 4.2 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa anapenda kujikweza na anahisi pale lumumba na ccm kwa ujumla kama mali ya urithi wa baba yake.

Nje ya cheo anajifanya ana akili sana.
Jamaa ndio alivyo, huwa ndio tabia yake halisi. Ndio maana JM alimfyekaga haraka sana.
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mkuu una akili ya ajabu sana kwa hiyo mfumuko wa gharama za maisha upo kwenye tozo za miamala peke yake? Una shida flani sio bure
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliniambia eti hizi tozo za hovyo hovyo, bei za ajabu za bidhaa mbalimbali ikiwemo Petrol nk haziwahasu pale Lugalo!
Nikambishia kuwa haiwezekani. Akaniambia, sasa inamaana nao ni mafala kama sisi wote tunaojibiwa nyodo na hawa mawaziri kila siku?
SIKUMUELEWA, nisaidieni alimaanisha nini swali lake?
 
Si mlimwoonesha huruma wakati akinyooshewa bastola kutoka kwa kibano cha mpapuro mkafikiri ni mwenzenu sasa oneni wenyewe kwa macho na masikio yenu msikie wenyewe kwamba yeye ni nani na hakuna mu wa kumfanya chochote. Msikimbilie kuunga mkono mtu kwa matendo ya gizani msiyoyajua dhidi ya mtu fulani.

Wote waliomkashifu JPM wako madarakani kwa sasa na nyodo hizo ndio uthibitisho walifanya nini.......bado mengine yatatokea ya ajabu na kusikitisha lakini hatolewe pale........wana hati miliki ya nchi
Ndo wanajiita wenye CCM hawa jamaa
 
Kama sio kumharibia Bi Samia ni nini? maana yake ni usilete fyokofyoko kwenye hiyo picha.

Sasa tofauti yake na ile ya Polepole kutukatia mauno ni ipi?
Anaharibiwa na nani? Yaani hiyo imo moyoni mwake, haitokei tu mtu anabandika atakavyo bila mhimili wa executive kujua

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: nao
😂😂😂 majibu mazuri sana ya Nape. Kidogo kidogo tutaelewana tu
 
  • Thanks
Reactions: nao
Nape angejifunza hikma na utulivu wa Mwenye Baba Ndugu Ridhwani Kikwete

Ridh1 katukanwa na anamtukanwa sana
Huyu Ridh1 anaandaliwa kuwa Rais, probably 2025 au 2030. Atakuwa alielekezwa kuishi ki-Rais kabla hajawa Rais ndio sababu hajibizani akitukanwa au akisemwa vibaya. Hata kumpa nafasi ya unaibu waziri imekaa kimkakati, Naibu Waziri kuchafuka ni kazi ngumu tofauti na Waziri, kwa hiyo amepewa unaibu ili awe relevant siasani bila kuchafuka
 
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..

Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?

Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Hiyo 3,000 ndo nyie walamba asali mnakatwa mkitoa ml 3!?
Sisi wananchi tunatozwa hivi

9GF77GLARMJ Confirmed. On 15/8 8:37 AM Withdraw Tsh990,000.00 from 578513 - THE CAPITAL PARK COMPANY LIMITED Total fee Tsh11,551.00 (M-Pesa fee Tsh8,000.00 + Government levy Tsh3,551.00). Balance is Tsh1,568,979.75.
 
Si mlimwoonesha huruma wakati akinyooshewa bastola kutoka kwa kibano cha mpapuro mkafikiri ni mwenzenu sasa oneni wenyewe kwa macho na masikio yenu msikie wenyewe kwamba yeye ni nani na hakuna mu wa kumfanya chochote. Msikimbilie kuunga mkono mtu kwa matendo ya gizani msiyoyajua dhidi ya mtu fulani.

Wote waliomkashifu JPM wako madarakani kwa sasa na nyodo hizo ndio uthibitisho walifanya nini.......bado mengine yatatokea ya ajabu na kusikitisha lakini hatolewe pale........wana hati miliki ya nchi
Akina nani hao wapo madarakani walimkashifu magu?
90% ya viongozi wa sasa ni walewale wa magu, yaani ujinga ni uleule tu.
 
Back
Top Bottom