Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kaiba fedha za passport na bado kapewa wizara nyeti.Baada ya kuondolewa uwaziri wa mambo ya ndani kuna siku nilimkuta kaharibikiwa gari porini njia ya Moro Dar. Na kwa nafasi aliyoipata atahakikisha anaiba ili awe kama Ruto. Tutegemee mauaji makubwa kwa wanaompinga
Nape Nnauye njoo huku tunakusimangaNape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Ndio mkomeHuyu jamaa nilikuwa namkubali hata alipotolewa najiwe naimani nawatz wengi pamoja namimi niliumia sana kumbe jamaa wahovyo kabisa hivi anajuwa niwatz wangapi waliumia kipindi kile chajiwe alipo mtimua hayandio malipokweli ilawajuwe watatupa taabu sana kuizungumzia ccm mbele zawatu watapna mavuno wanayo panda
The good thing is you don't have and the bad thing is he's got a Mark that can be put on you at any time!!If I had Glock in my hand I would shoot this Idiot actually he is making our life difficult.
Nape anauelewa huo ukweli uliosema. Anawajua wabongo kuwa ni mashujaa wa keyboard na hakuna la zaidi wanalojihangaisha kulifanya.And there is nothing to do about it. Tutaongea weeeee afu then what?
Kwa kweli uchawi unahusika sanaSi mlimwoonesha huruma wakati akinyooshewa bastola kutoka kwa kibano cha mpapuro mkafikiri ni mwenzenu sasa oneni wenyewe kwa macho na masikio yenu msikie wenyewe kwamba yeye ni nani na hakuna mu wa kumfanya chochote. Msikimbilie kuunga mkono mtu kwa matendo ya gizani msiyoyajua dhidi ya mtu fulani. Wote waliomkashifu JPM wako madarakani kwa sasa na nyodo hizo ndio uthibitisho walifanya nini.......bado mengine yatatokea ya ajabu na kusikitisha lakini hatolewe pale........wana hati miliki ya nchi
Utatoka wapi huu mwisho ?Ila tutafika tu..hizi dharau zina mwisho!
Bitterness inasumbua akili za kitanzania. Tunaishi kwa machungu mengi na hatujui lini yataisha.Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
I can feel you lanladyItafika mahali tutaelewana tu.
Baadhi ya viongozi wa sasa ni walamba asali. Hawajali wananchi wa kawaida aka maskini!
Nape ana dharau sana. Namfahamu na wala si kwa kuambiwa bali kwa kuthibitisha. He is not humble. He is very harsh!
Ila ipo siku atajifunza kuwa maisha ni watu na hapaswi kuwabagua hata kama wana hadhi ya chini kuliko aliyonayo.
Laana toka lini ikafanya kazi? Ingekua hivyo mboye Leo hii angekua amelaanika maana alichofanya kwa wangwe, slaa na wengine ni laana kubwaMatusi aliyomtukana Lowassa huyu jamaa hayaandikiki hapa jf , ile laana ikimuacha huyu nitashangaa sana !
Slaa alikimbia mwenyewe baada ya kuahidiwa cheo , aliyesababisha kifo cha Wangwe alipewa msamaha na MkapaLaana toka lini ikafanya kazi? Ingekua hivyo mboye Leo hii angekua amelaanika maana alichofanya kwa wangwe, slaa na wengine ni laana kubwa
Aliewaroga kashakufa mtafika wapi na uzuzu wenuIla tutafika tu..hizi dharau zina mwisho!
Waongopee ufipa huko, ipo siku ukweli utakua wazi. Subiri tuSlaa alikimbia mwenyewe baada ya kuahidiwa cheo , aliyesababisha kifo cha Wangwe alipewa msamaha na Mkapa