Yaani leo nime weka bundle ya 1.5gb zimeisha ndani ya masaa mawili.Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Baada ya kuondolewa uwaziri wa mambo ya ndani kuna siku nilimkuta kaharibikiwa gari porini njia ya Moro Dar. Na kwa nafasi aliyoipata atahakikisha anaiba ili awe kama Ruto. Tutegemee mauaji makubwa kwa wanaompingaJamaa anapenda kujikweza na anahisi pale lumumba na ccm kwa ujumla kama mali ya urithi wa baba yake.
Nje ya cheo anajifanya ana akili sana.
Nadhani alitolewa kwenye uwaziri wa wizara anauoiongoza Sasa (rejea sakata la Makonda na Clouds).Baada ya kuondolewa uwaziri wa mambo ya ndani
Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Mmh! Mkuu pole kwa kuchafukwa.Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mshukuru mnaongoza watu wasiojitambua,ndio maana mnatoa majibu ya ki*** ila ipo siku.Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Mkuu ila unajitahidi aise kwa mashambulizi ya saizi na yanayo kuja sijui kama utatoboa watu wamechafukwa usifanye utani kama wewe unaziotea bora ukae kimya tu.Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Ule ulikuwa ni uchafuzi mkuu, siyo uchaguziAlipita Bila kupingwa huyo
Jibu hoja kwanza ndio tuendelee na mambo mengine..Mkuu ila unajitahidi aise kwa mashambulizi ya saizi na yanayo kuja sijui kama utatoboa watu wamechafukwa usifanye utani kama wewe unaziotea bora ukae kimya tu.
Yaani hiyo ipo siku kwamba mtapiga Kofi la kulia harafu mnageuziwa na la kushoto au?Mshukuru mnaongoza watu wasiojitambua,ndio maana mnatoa majibu ya kiseng* ila ipo siku.
Matusi aliyomtukana Lowassa huyu jamaa hayaandikiki hapa jf , ile laana ikimuacha huyu nitashangaa sana !Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Huyu jamaa nilikuwa namkubali hata alipotolewa najiwe naimani nawatz wengi pamoja namimi niliumia sana kumbe jamaa wahovyo kabisa hivi anajuwa niwatz wangapi waliumia kipindi kile chajiwe alipo mtimua hayandio malipokweli ilawajuwe watatupa taabu sana kuizungumzia ccm mbele zawatu watapna mavuno wanayo pandaNape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500