kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Oooo analamba asaliiNape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Mlimuona mwenda zake anamuonea huyu Vuvuzela amesahau alivyotembea kwa magoti kwenda kuomba msamaha ikulu.Nape anashiba na kusaza awamu hii. Mama alishamtoa wasiwasi Nape na mawaziri wengine kwamba hatowatumbua hata wakikosea. Hivyo hawana hofu tena.
Nape anaulizwa kuhusu TOZO mpya za miamala ya kibenki anajibu kwa nyodo. Majibu yake yananuka shombo la ulevi wa madaraka.
Nchi hii jamani! Acha tu.
View attachment 2327500
Kumbe unamjua ee?Nape ana nyodo na kiburi nmewahi kushudia hili mwaka 2015 pale Dodoma makao makuu akiwa anawajibu shombo vijana wa Uvccm vyuo vikuu.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Vipi wale tunaowatumia watoto wote Tsh 3000 za matumiziHayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Nchi ameshaifungulia ila alichokutana nacho ni tofauti na matarajioπDuh hata wewe ccm kindakindaki unalia gharama za maisha kwan si sa100 ameshafungua nchi au?
Utakuja kufilibwa MPaka usikie utamu unaoutakaaHayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Ok. Unamaanisha Nape hajaanza nyodo bali ana vinasaba vya nyodo?Nape ameanza nyodo? unamjua vizuri Nape?
Would be of great pleasure if you would begin with that mofo called Minister of FinanceIf I had Glock in my hand I would shoot this Idiot actually he is making our life difficult.
Jamaa ndio alivyo, huwa ndio tabia yake halisi. Ndio maana JM alimfyekaga haraka sana.Jamaa anapenda kujikweza na anahisi pale lumumba na ccm kwa ujumla kama mali ya urithi wa baba yake.
Nje ya cheo anajifanya ana akili sana.
Mkuu una akili ya ajabu sana kwa hiyo mfumuko wa gharama za maisha upo kwenye tozo za miamala peke yake? Una shida flani sio bureHayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Ndo wanajiita wenye CCM hawa jamaaSi mlimwoonesha huruma wakati akinyooshewa bastola kutoka kwa kibano cha mpapuro mkafikiri ni mwenzenu sasa oneni wenyewe kwa macho na masikio yenu msikie wenyewe kwamba yeye ni nani na hakuna mu wa kumfanya chochote. Msikimbilie kuunga mkono mtu kwa matendo ya gizani msiyoyajua dhidi ya mtu fulani.
Wote waliomkashifu JPM wako madarakani kwa sasa na nyodo hizo ndio uthibitisho walifanya nini.......bado mengine yatatokea ya ajabu na kusikitisha lakini hatolewe pale........wana hati miliki ya nchi
Anaharibiwa na nani? Yaani hiyo imo moyoni mwake, haitokei tu mtu anabandika atakavyo bila mhimili wa executive kujuaKama sio kumharibia Bi Samia ni nini? maana yake ni usilete fyokofyoko kwenye hiyo picha.
Sasa tofauti yake na ile ya Polepole kutukatia mauno ni ipi?
Huyu Ridh1 anaandaliwa kuwa Rais, probably 2025 au 2030. Atakuwa alielekezwa kuishi ki-Rais kabla hajawa Rais ndio sababu hajibizani akitukanwa au akisemwa vibaya. Hata kumpa nafasi ya unaibu waziri imekaa kimkakati, Naibu Waziri kuchafuka ni kazi ngumu tofauti na Waziri, kwa hiyo amepewa unaibu ili awe relevant siasani bila kuchafukaNape angejifunza hikma na utulivu wa Mwenye Baba Ndugu Ridhwani Kikwete
Ridh1 katukanwa na anamtukanwa sana
Hiyo 3,000 ndo nyie walamba asali mnakatwa mkitoa ml 3!?Hayo ndio majibu mnastahili kujibiwa hadi akili ziwakae sawa..
Yaani mtu analalamikia tozo ya 3,000 kwa kutoa mil.3 harafu huyo huyo anabeza ongezeko la sh.20,000 kwenye salary,unajiuliza elfu 3 na 20,000 ipi kubwa?
Ni kuwajibu upupu tuu mtaacha ulalamishi wa kijinga kijinga.
Akina nani hao wapo madarakani walimkashifu magu?Si mlimwoonesha huruma wakati akinyooshewa bastola kutoka kwa kibano cha mpapuro mkafikiri ni mwenzenu sasa oneni wenyewe kwa macho na masikio yenu msikie wenyewe kwamba yeye ni nani na hakuna mu wa kumfanya chochote. Msikimbilie kuunga mkono mtu kwa matendo ya gizani msiyoyajua dhidi ya mtu fulani.
Wote waliomkashifu JPM wako madarakani kwa sasa na nyodo hizo ndio uthibitisho walifanya nini.......bado mengine yatatokea ya ajabu na kusikitisha lakini hatolewe pale........wana hati miliki ya nchi