Suleman Jr
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 341
- 525
Hisia zako tu, wote hao si walikua viongozi enzi za magu? Au unajisahaulisha, hakuna tofauti yoyote ya magu na samia mabaya yao ni yaleyale tu. Wote hawafaiRais Samia kwanini unawakumbatia Mwigulu, Makamba na Nape? Mbona hawafai kabisa yaani wanakuhujumu wazi wazi. Tunamlilia Dkt Magufuli, angekuwepo gharama za maisha zingekuwa chini na watu hawa wasingekuwepo kabiaa kwenye safu za uongozi.
Kwa hiyo wewe na akili zako ni WA kulalamikia elfu 4?Hiyo 3,000 ndo nyie walamba asali mnakatwa mkitoa ml 3!?
Sisi wananchi tunatozwa hivi
9GF77GLARMJ Confirmed. On 15/8 8:37 AM Withdraw Tsh990,000.00 from 578513 - THE CAPITAL PARK COMPANY LIMITED Total fee Tsh11,551.00 (M-Pesa fee Tsh8,000.00 + Government levy Tsh3,551.00). Balance is Tsh1,568,979.75.
Kwa hiyo mfumuko wa gharama za maisha umeletwa na Mwigulu?Mkuu una akili ya ajabu sana kwa hiyo mfumuko wa gharama za maisha upo kwenye tozo za miamala peke yake? Una shida flani sio bure
Unajifariji tuu hapa..mpe kaisar stahik yake kutoka kwenye pesa zako la sivyo kawalaum waliokuzaa
Unamtumia mtoto wako buk 3 bank? Wewe ni baba wa mchongo na hufai kama kweli unafanya hilo.Vipi wale tunaowatumia watoto wote Tsh 3000 za matumizi
Huna akili,kama unaishi Burundi hutota ila ukisikia vilio ujue tayari ππLabda kama naishi na mama ako, tozo sitoi wala nini ila ukweli lazma niuseme hata kama utaki cheti feki chawa papasi ww! Ntaendelea kuwachana 365
Sheria itanifuata kwa kutumia app kwenye simu yangu?πππ Hebu ficha upumbavu wako kidogoRubbish,kama mtakuwa Nchi yenu huko angani sawa ila kama ni hapa hapa Sheria zitawafuata.
Google tuu saizi wanalipa tax so labda wanakulipia..Sheria itanifuata kwa kutumia app kwenye simu yangu?πππ Hebu ficha upumbavu wako kidogo