Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

Ben Saanane mlisema hivi na wengine kufikia kudai amejiteka mwenyewe!! Mwezi wa 5 sasa hakuna taarifa zozote!!
 
Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!


mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Yapo mengi ya kuangalia. Mara nyingi polisi na sare zao wanapokwenda kukama watu hujazana kushuhudia tukio na huwa hawwafukuzwi na wakamatwaji huhoji uhalali wa kukamatwa kwao. Hapa nashangaa watu wasio na sare wanawateka na watekwaji awahoji wapi wanapelekwa na wamekamatwa kwa kosa gani.
Kujua kama kuna watu walikuja kuwachukuwa watu sita akiwamo Roma ni wazi kuna waliona tukio hilo. Basi watuambie waliwaamini vipi kuwa wale ni askari au watu salama? Kama walitumia nguvu kubwa, kwanini wasijulishe vvombo vya ualama wakati huo huo? Nina mambo mengi nayashakia huenda kuna njama za kutaka kujipa uhalali wa kufanya vurugu kwa visingizio vya utekaji.
 
Mkuu mbona povu linakutoka hivyo matundu yote? Au mnashea Bwana na Bashite nini?
 
Kwa mwelekeo huu soon tutakuwa digidigi Republic
 
Yeye ni mbunge, akiishia kuandika kwenye mitandao , kusikitika na kulia lia Tu atakuwa hajafanya kitu.
Ashirikiane na wenzake hatimaye Bunge kwa haraka lijadili hilli suala la watu kutoweka na kupotea kama ndege ya Malaysia... ( walau hii vipande vya ndege vilionekana) then wake na maazimio yatakayafanya ukweli kujilikana.Vyombo vya usalama hii ndio kazi tunayowalipa kuifanya... Zinazoitwa kamati za ulinzi na usalama za mikoa wilaya hiki tatizo mnalichukulia pouwa... Mkija shutka limeshakuwa sugu.
Nape wewe ni mbunge, Bashe ni mbunge. Jiongezeni zaidi ya kuandika kwenye mitandao. You can do it
 
Analilia nini badala ya kuwaasa wasanii namna ya kulinda maudhui ya kazi zao?
 

Hukumu yao ni 2020, na kama wameshaweza teka toka jana uwezi lia sasa. Hii vita haitaki hasira ni timing na hawawezi fanya kazi hao watu. Vita hii itachukua muda sababu wao ndio wenye silaha.
Madawa kuvuta usione hatare hata ganja ni dawa.
 
Tunakoelekea sasa hata polisi wakija kutukamata inabidi kuambatana na jamaa wengi mno tusijepotea
 
Hivi awamu ya 5 inadhani itaua watanzania wangapi ?
 
Huyo nape mnafiki, kavuliwa uwaziri bado tu kimbele mbele
 
Hali ya tanzania kwa sasa ni ya kuripoti UN security Council, dunia ijue nini kinaendelea Tanzania. Hawajui ndiyo hata jana balozi wa EU alionekana happy with Tanzania which is contrary to EU human rights policy!
Hili lifanyike haraka sana

Tume huru idaiwe mapema Tanzania
 
Daaaah...!!! Mbona haya mambo kipind cha nyuma hayakuwepo kwann kipind hiki ndo yamekuwa yakitokea na hakuna anayechukua hatua stahiki si vyombo vya dola wala si viongozi wanaohusika na masuala haya...!!! Tunaelekea wapi watanzania...?????

Umemsahau Dr Ulimboka,Umemsahau Dr Mvungi?Umemsahau Kubenea? umemsahau Kibanda??Ni vizuri kuwa na kumbukumbu
 
Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!


mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
In this case, nani amepose kama nani?
 
Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye madola ya kiimla !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…