Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema Deni la Taifa limefikia Tsh. Trilioni 64, ambapo awamu ya tano ilikopa Dola Bilioni 9 (takribani Tsh. Trilioni 20) bila kuwa na uwazi
-
Ametaka Deni la Taifa kuchunguzwa na miradi iliyofanywa kwa mikopo katika Serikali ya Awamu ya Tano iangaliwe kama inaendana
-
Aidha, Nape ameshauri uwazi uliopo kwenye Tsh. Trilioni 1.3 za IMF alizokopa Rais Samia uendelee kwa fedha nyingine
-
angetoa wapi mishahara yenu ilhali biashara kubwakubwa zinazolipa kodi nono zilishakufa na mliendelea kuimba pambio za kumsifu?
 
Turudi kwenye point trillion 20 zimetumikaje
Hutakaa uambiwe na yeyote zilivyotumika, zaidi ya hizi kelele za Nape kuzitumia hizo 20t kutafutia teuzi, na akishapata hiyo teuzi hutakaa umsikie tena akizungumzia hiyo habari, nashangaa unafiki wa viongozi wa CCM bado unawadanganya wajinga wa nchi hii.
 
Nimezisikia na kuzisoma hoja za Nape ila, ukweli kuwa Nape kwa kujua au kutokujua amemuonea mzee mkapa(apumzike salama).
Nape akiwa na confidence ya Hali ya juu amesema mkapa kwa miaka 10 alikopa dola Bilioni 9.
Hii si kweli kabisa, na sijajua kwa nini mh.Nape aliamua kusema hivi.
Mkapa aliingia madarakani 1995 Deni lilikuwa ni dola bilion 7.37. na hadi anaondoka madarakani kwa mwaka wa fedha alioishia nao Deni lilikuwa ni dola Bilioni 8.4
Hivyo kwa miaka 10 mkapa alikopa dola bilion 1 tu ambayo ni sawa na trillion 2.3 ya sasa na sio bilion 9 ambayo ni sawa na trillion 20 Kama alivyosema mh.Nape.
Mh.Nape kwa hesabu ulizopiga unaenda kumhukumu mama Samia bila kujua, maana kwa kipindi chake Cha miezi 6 tu ameshakopa zaidi ya Trillion 4 ( 2.7 za world Bank na 1.3 za IMF).
Mh.Nape umesifia mikopo hii kwa mama, lakini jua kwa kipindi Cha miezi 6 mkopo kwa mama samia umezidi mkopo wa mkapa kwa kipindi chake cha miaka 10.
Lakini mimi sitamhukumu jiwe mwendazake, mama Samia na atayekuja. Kwa sababu;
Kipindi cha mkapa na mwanzoni mwa kikwete mfumuko wa bei ulikua mdogo sana na pesa yetu ilikuwa na thamani kwenye dola 1.
Mfano: kipindi Cha mkapa ili kujenga darasa 1 ilihitaji si zaidi ya mil 5. Hivyo akienda kukopa atakopa pesa kidogo na deni kwa sasa litaonekana dogo kipindi chake.
Sasa hivi kujenga darasa moja si chini ya mil 20, bati kipindi cha mkapa liliuzwa sh.5,000 Ila leo bati ni sh.25,000 hivyo mama Samia akienda kukopa ni lazima atakopa kingi.
Mfano mwingine rahisi tu, Kuna kipindi Cha mkapa bajeti ya nchi ilikuwa Trillion 4 tu.
Lakini sasa hivi hizi trillion 4 ukiweka kwenye barabara tu zote zimeisha kutokana na thamani ya pesa kwa sasa.
Hivyo kwa hesabu rahisi tu kwa kipindi Cha miaka 5 inayokuja mama samia atakopa hadi trillion 30(huu ni ukweli). Na atayekuja baada ya mama Samia nae atakopa zaidi ya hizo 30.
Nini kifanyike ili deni lisikue;
  • kupandisha thamani ya shilingi dhidi ya dola. mfano dola moja iwe sh.1200. na hapo Deni letu litakuwa limeshuka kwa nusu. Badala ya trillion 64 litakuwa trillion 32.
  • kupunguza mfumuko wa bei, mfano bati liwe sh.8000, cement sh.7000, nondo sh.9000.
Hayo yote yanawezekana Ila kwa serikali ambayo itakuwa na vision na watu wenye akili kubwa sana
View attachment 2003889View attachment 2003890
Kama nakuelewa ila sasa kama Mkapa alikuta deni hilo la 7.4 na madeni mengi yakafutwa kwa ule mpango wa HIPC ilikuwaje ikabaki 8.4? Tusaidie kwenye mahesabu hapo manake naona hakuna usuluhisho?
 
mi hua najiuliza wakenya licha ya ufisadi mkubwa walionao bt wamefanikiwa kuilinda thamani ya shilingi yao kwa dola, je sisi tunakwama wapi?
 
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri

Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba kubwa

Ameongeza kwa kutaka uchunguzi ufanyike juu ya mikopo hiyo na ilinganishwe na thamani ya miradi ambayo mikopo hiyo ilifanya

Ameipongeza Serikali ya awamu ya 5 kwa kuweka wazi mkopo wa 1.3 trilioni iliyokopa kitu ambacho hakikuwepo kipindi kilichopita na kutaka uwazi huu uigwe


Mkopaji mkuu alikuwa makamu wa rais wa sasa ndio maana kamishina wa 'fire' kipindi hicho alipoenda ulaya na kusaini mkataba bila idhini ya mkopaji mkuu walisimamishwa kazi na baadae kupangiwa majukumu mengine.
 
Fisi akitaka kuanza kutafuna watoto wake anaanza kwanza kuwasingizia kuwa wananuka harufu ya Mbuzi.
 
Usitoke nje ya mada
Tunazungumzia miaka mitano ya Magufuli amekopa trillion 20
Zimetumikaje...????
Mkuu wa sitoki nje ya mada, Bali haya madeni yote yametumika ndivyo sivyo.
Kujianzishia miradi bila kufuata utaratibu ni upigaji na hili jiwe analo la kujibu.
Mada yangu nimelenga kumsahihisha nape kuhusu Deni alilokopa mkapa na kikwete. mkapa alikola dola bilion 1 na sio 9, kikwete alikopa dola bilion 11 na sio 7.
 
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema Deni la Taifa limefikia Tsh. Trilioni 64, ambapo awamu ya tano ilikopa Dola Bilioni 9 (takribani Tsh. Trilioni 20) bila kuwa na uwazi
-
Ametaka Deni la Taifa kuchunguzwa na miradi iliyofanywa kwa mikopo katika Serikali ya Awamu ya Tano iangaliwe kama inaendana
-
Aidha, Nape ameshauri uwazi uliopo kwenye Tsh. Trilioni 1.3 za IMF alizokopa Rais Samia uendelee kwa fedha nyingine
-
Noma sana
 
Wewe huoni? Hizo interchange mnazopita mnadhani zimetolewa bure? Huoni SGR,huoni NHPP,kweli hutuoni au tunajitoa ufahamu tu Magufuli kafanya parefu Sana na panaonekana hakuna aliyekuwa na huo uthubutu,hili Deni la Magufuli nalipokea kwa mikono miwili na ninafurahi kulipa na wajukuu zangu watamalizia kwa amani maana alikopa kwa faida yetu na kizazi chetu.
Usitoke nje ya mada
Tunazungumzia miaka mitano ya Magufuli amekopa trillion 20
Zimetumikaje...????
 
mi hua najiuliza wakenya licha ya ufisadi mkubwa walionao bt wamefanikiwa kuilinda thamani ya shilingi kwa dola, je sisi tunakwama wapi?
Sisi ni mithili ya mateja wanaovuta madawa ya kulevya. Tukiwa hatuna alosto tuna mikakati na akili nyingi sana lakini tukiwa na alosto tunaweza weka rehani hata utu wetu.

Hii inadhihirika pale tunapotaka kukopa tunahaha kiasi kwamba mkopeshaji anakuwa na jeuri ya kuweka terms zozote anazotaka na sisi tusibishe. Na hii ikiwemo kujaza soko letu na bidhaa za nje kulinganisha na zile tunazosafirisha sisi kupelekea kupotea kwa thamani ya pesa yetu.

Mfano mdogo tu, ni swala la CORONA umeona jinsi gani tumebadilisha muelekeo ghafla kutoka kutoamini uwepo wa CORONA mpaka kuwa waumini wa kuu wa chanjo hii yote ni ili kupata tu fedha za mikopo na misaada. Our inconsistency is what costs our economy. Hatuna dira moja.

Kenya wenzetu wata compromise vitu vyote lakini sio soko lao kwa mlingano wa import vs export.
 
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema Deni la Taifa limefikia Tsh. Trilioni 64, ambapo awamu ya tano ilikopa Dola Bilioni 9 (takribani Tsh. Trilioni 20) bila kuwa na uwazi
-
Ametaka Deni la Taifa kuchunguzwa na miradi iliyofanywa kwa mikopo katika Serikali ya Awamu ya Tano iangaliwe kama inaendana
-
Aidha, Nape ameshauri uwazi uliopo kwenye Tsh. Trilioni 1.3 za IMF alizokopa Rais Samia uendelee kwa fedha nyingine
-
Kangi Lugola alitumbuliwa na Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
 
Sisi ni mithili ya mateja wanaovuta madawa ya kulevya. Tukiwa hatuna alosto tuna mikakati na akili nyingi sana lakini tukiwa na alosto tunaweza weka rehani hata utu wetu.

Hii inadhihirika pale tunapotaka kukopa tunahaha kiasi kwamba mkopeshaji anakuwa na jeuri ya kuweka terms zozote anazotaka na sisi tusibishe. Na hii ikiwemo kujaza soko letu na bidhaa za nje kulinganisha na zile tunazosafirisha sisi kupelekea kupotea kwa thamani ya pesa yetu.

Mfano mdogo tu, ni swala la CORONA umeona jinsi gani tumebadilisha muelekeo ghafla kutoka kutoamini uwepo wa CORONA mpaka kuwa waumini wa kuu wa chanjo hii yote ni ili kupata tu fedha za mikopo na misaada. Our inconsistency is what costs our economy. Hatuna dira moja.

Kenya wenzetu wata compromise vitu vyote lakini sio soko lao kwa mlingano wa import vs export.
Hapo ndio kwenye mchawi wetu.
Hatu-export kabisa na ndio maana shillingi inazidi kuporomoka.
Siku tukiweza kudhibiti shilingi basi tutakuwa tumelipa Deni pakubwa Sana.
Fikiria tu tukiweza kuifanya shillingi yetu ikawa 1000 kwa dola 1, basi Deni la taifa litakuwa trillion 25 badala ya trillion 64
 
Ya Kikwete ilikopa ngapi ?Sasa mnamuonea Magufuli kwa vile hawezi kusema tena.Wewe Nape unajiona msafi wakati ni fisadi tu.Hivi Magufuli angekuwa ni Rais mstaafu na yupo hai ungetoa hayo maoni ?.Akiwa hai nyote mlimuogopa kama Ukoma. Akiwa kafa muogopeni hivyo hivyo.Idiots.
Lisu alimchana Magufuli mchana kweupe na hata alipompiga risasi bado alimwambia ukweli akiwa mzima
 
Sisi ni mithili ya mateja wanaovuta madawa ya kulevya. Tukiwa hatuna alosto tuna mikakati na akili nyingi sana lakini tukiwa na alosto tunaweza weka rehani hata utu wetu.

Hii inadhihirika pale tunapotaka kukopa tunahaha kiasi kwamba mkopeshaji anakuwa na jeuri ya kuweka terms zozote anazotaka na sisi tusibishe. Na hii ikiwemo kujaza soko letu na bidhaa za nje kulinganisha na zile tunazosafirisha sisi kupelekea kupotea kwa thamani ya pesa yetu.

Mfano mdogo tu, ni swala la CORONA umeona jinsi gani tumebadilisha muelekeo ghafla kutoka kutoamini uwepo wa CORONA mpaka kuwa waumini wa kuu wa chanjo hii yote ni ili kupata tu fedha za mikopo na misaada. Our inconsistency is what costs our economy. Hatuna dira moja.

Kenya wenzetu wata compromise vitu vyote lakini sio soko lao kwa mlingano wa import vs export.
mkuu kwa hiyo kipindi shilingi yetu ilipokua sawa na kenya tulikua tunaexport sana?
 
Nimezisikia na kuzisoma hoja za Nape ila, ukweli kuwa Nape kwa kujua au kutokujua amemuonea mzee mkapa(apumzike salama).
Nape akiwa na confidence ya Hali ya juu amesema mkapa kwa miaka 10 alikopa dola Bilioni 9.
Hii si kweli kabisa, na sijajua kwa nini mh.Nape aliamua kusema hivi.
Mkapa aliingia madarakani 1995 Deni lilikuwa ni dola bilion 7.37. na hadi anaondoka madarakani kwa mwaka wa fedha alioishia nao Deni lilikuwa ni dola Bilioni 8.4
Hivyo kwa miaka 10 mkapa alikopa dola bilion 1 tu ambayo ni sawa na trillion 2.3 ya sasa na sio bilion 9 ambayo ni sawa na trillion 20 Kama alivyosema mh.Nape.
Kutokana na mpango wa kufutiwa madeni Deni lilifutwa na kufikia dola bilion 4 mwaka 2006 mwanzoni, ila likatoka hapo na kufikia dola bilion 15 Hadi kikwete anaondoka.
Hivyo kikwete alikopa dola bilion 11 na sio Bilioni 7 Kama alivyosema Nape
Mh.Nape kwa hesabu ulizopiga unaenda kumhukumu mama Samia bila kujua, maana kwa kipindi chake Cha miezi 6 tu ameshakopa zaidi ya Trillion 4 ( 2.7 za world Bank na 1.3 za IMF).
Mh.Nape umesifia mikopo hii kwa mama, lakini jua kwa kipindi Cha miezi 6 mkopo kwa mama samia umezidi mkopo wa mkapa kwa kipindi chake cha miaka 10.
Lakini mimi sitamhukumu jiwe mwendazake, mama Samia na atayekuja. Kwa sababu;
Kipindi cha mkapa na mwanzoni mwa kikwete mfumuko wa bei ulikua mdogo sana na pesa yetu ilikuwa na thamani kwenye dola 1.
Mfano: kipindi Cha mkapa ili kujenga darasa 1 ilihitaji si zaidi ya mil 5. Hivyo akienda kukopa atakopa pesa kidogo na deni kwa sasa litaonekana dogo kipindi chake.
Sasa hivi kujenga darasa moja si chini ya mil 20, bati kipindi cha mkapa liliuzwa sh.5,000 Ila leo bati ni sh.25,000 hivyo mama Samia akienda kukopa ni lazima atakopa kingi.
Mfano mwingine rahisi tu, Kuna kipindi Cha mkapa bajeti ya nchi ilikuwa Trillion 4 tu.
Lakini sasa hivi hizi trillion 4 ukiweka kwenye barabara tu zote zimeisha kutokana na thamani ya pesa kwa sasa.
Hivyo kwa hesabu rahisi tu kwa kipindi Cha miaka 5 inayokuja mama samia atakopa hadi trillion 30(huu ni ukweli). Na atayekuja baada ya mama Samia nae atakopa zaidi ya hizo 30.
Nini kifanyike ili deni lisikue;
  • kupandisha thamani ya shilingi dhidi ya dola. mfano dola moja iwe sh.1200. na hapo Deni letu litakuwa limeshuka kwa nusu. Badala ya trillion 64 litakuwa trillion 32.
  • kupunguza mfumuko wa bei, mfano bati liwe sh.8000, cement sh.7000, nondo sh.9000.
Hayo yote yanawezekana Ila kwa serikali ambayo itakuwa na vision na watu wenye akili kubwa sana
View attachment 2003889View attachment 2003890
Mkuu nashukuru sana kwa analysis nzuri uliyofanya.Nape sijui hata kama anajua maths.Hivi vitu ni vya wataalam wa model za econometrics. Nape anaamini kuwa kupiga kelele sana ataonekana anafahamu.Nape sijui hata kujumlisha na kutoa anafahamu.Na hajui kuwa anajenga uadui na watu wengi zaidi.
 
Anajidai kun'gata kule na kupuliza huku wakati CCM ni hiyo hiyo na yeye akiwa miongoni mwao, namuona anaropoka tu, kumsifia Samia sasa hivi wakati alimuomba msamaha Magufuli nae akaanza kumsifia badala ya kubaki na huu msimamo wake anaojidai nao sasa ni upuuzi tu.
Unatafutwa uteuzi wa uwaziri hapo, hao ndio MaCCM., TEUZI , TEUZI ndio kila kitu kwao.
Maisha mtaani ni Magumu mno, hawajari, Na hakuna anaezungumzia.

MaCCM yanastahili kufukiwa yakiwa hai.
 
Mkuu wa sitoki nje ya mada, Bali haya madeni yote yametumika ndivyo sivyo.
Kujianzishia miradi bila kufuata utaratibu ni upigaji na hili jiwe analo la kujibu.
Mada yangu nimelenga kumsahihisha nape kuhusu Deni alilokopa mkapa na kikwete. mkapa alikola dola bilion 1 na sio 9, kikwete alikopa dola bilion 11 na sio 7.
Nadhani sasa yeye na wengine wataelewa hii summary. Thanks mkuu Memento
 
Anyway, nimemkumbuka Nape siku ile aliyoenda pale ikulu baada ya kuomba msamaha, alipopiga picha na Magufuli akiwa ameweka mikono yake karibu na paji la uso kama vile anamsujudia mwanadamu yule anayemuita leo mwizi.
Pale ndo alikuwa anaenda kummaliza sasa!! tena nyie mshukuruni Nape alifanya kweli!!! alimsumisha huyu jamaa pale pale kwenye salamu za msamaha! vinginevyo mngekuwa bado mnaosha vyoo vya stand!

Nape ni mafia wa miaka mingi ndani ya ccm!! Diplomatic asssassinator!! usimuone vile! sasa alikuwa ana mjaribu maksudi tu!! kumpata jiwe kirahisi ilikuwa ni jambo la''kumlaumu hadaharani km vile alivo fanya Nape!

tena huyu! Nape alipanga na kujua wazi kuwa anadukuliwa na maofisa usalama wa Ikulu! na udukuzi ule mwenda zake ataujua tu!

So jiwe ata react weee!! .. kutangazia Umma!! Umma wote km wewe unajua Nape ana makosa... kwa hiyo Nape ili ammalize Rais! ilikuwa waonane macho kwa macho! kivipi?? ni kupitia msamaha tu!!!

kwa hiyo jiwe alivokuwa mweupe na kiburi cha uzima!! si kaukubali msamaha!! na kupeana mikono? , ndo pale pale jiwe kwishne vile! CCM ni Mafia hatare!! jiwe alikufa siku ileile!!aliyoonana na Nape!
 
Back
Top Bottom