Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba

Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba

Sasa jamani tulitegemea aseme nini wakati chama chake kinaamini kwenye serikali mbili na ufisadi?Tumsamehe bure ila tumuelimishe tu.

Hii siyo hoja. Kavae gauni lako jekundu uwahi.
 
"Mantiki ni kuzuia Bunge Maalumu kunyang'anya madaraka ya wananchi, yaani "act of popular sovereignty". Wataalamu wa masuala ya Katiba wanaeleza kuwa madaraka ya Bunge Maalumu katika mazingira haya ni kuboresha Rasimu ya Katiba.

"Kwa mujibu wa Kifungu cha 25(1) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, Bunge Maalumu limepewa madaraka ya kujadili na kupitisha masharti ya Katiba, kutunga Sheria ya Masharti ya Mpito na Masharti yatokanayo na kabla ya kuanza kazi hiyo, Bunge Maalumu litapitisha Kanuni za Bunge Maalumu ambazo zitaongoza utekelezaji wa mamlaka ya Bunge Maalumu."
 
“Mantiki ni kuzuia Bunge Maalumu kunyang’anya madaraka ya wananchi, yaani “act of popular sovereignty”. Wataalamu wa masuala ya Katiba wanaeleza kuwa madaraka ya Bunge Maalumu katika mazingira haya ni kuboresha Rasimu ya Katiba.

“Kwa mujibu wa Kifungu cha 25(1) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, Bunge Maalumu limepewa madaraka ya kujadili na kupitisha masharti ya Katiba, kutunga Sheria ya Masharti ya Mpito na Masharti yatokanayo na kabla ya kuanza kazi hiyo, Bunge Maalumu litapitisha Kanuni za Bunge Maalumu ambazo zitaongoza utekelezaji wa mamlaka ya Bunge Maalumu.”
 
"Mantiki ni kuzuia Bunge Maalumu kunyang'anya madaraka ya wananchi, yaani "act of popular sovereignty". Wataalamu wa masuala ya Katiba wanaeleza kuwa madaraka ya Bunge Maalumu katika mazingira haya ni kuboresha Rasimu ya Katiba.

"Kwa mujibu wa Kifungu cha 25(1) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, Bunge Maalumu limepewa madaraka ya kujadili na kupitisha masharti ya Katiba, kutunga Sheria ya Masharti ya Mpito na Masharti yatokanayo na kabla ya kuanza kazi hiyo, Bunge Maalumu litapitisha Kanuni za Bunge Maalumu ambazo zitaongoza utekelezaji wa mamlaka ya Bunge Maalumu."

Mnasema sana, lakini mwisho wa siku Kanuni zitakuwa chini ya kura.
 
"Maboresho maana yake ni kubadili. Ukiwa
na nyumba ya vyumba vinne na kuiboresha
kwa kuweka chumba kimoja si umeibadili?"


Tumsaidie Kiswahili hapa...Jaji anasema si kubadili hoja ya msingi, ukiwa na vyumba vinne ukafanya kimoja umeboresha lakn nyumba ni ile ile..............kubadili ni kufanya nyumba iwe say kiwanja cha mpira etc
 
Tume ilihoji zaidi ya watu milioni saba.... wabunge watabadilisha kwa mawazo ya nani...
 
Bado tunamgeuza Warioba mbuzi wa kafara na kusahau maoni tuliyotoa watz wenyewe?
 
Hii siyo hoja. Kavae gauni lako jekundu uwahi.

Tumia lugha ya staha sijamtukana mtu na usitegemee nitakutukana kama huna comment ya maana bora ungeiacha.Usidhani tabia yako ni sawa na tabia za wengine badilika positively,hata kama inaumiza lakini ukumbuke mabadiliko hayaepukiki ni bora uyapokee sasa kuliko yakukute haujayapokea utaumia mara mia.
 
"Maboresho maana yake ni kubadili. Ukiwa
na nyumba ya vyumba vinne na kuiboresha
kwa kuweka chumba kimoja si umeibadili?"


Tumsaidie Kiswahili hapa...Jaji anasema si kubadili hoja ya msingi, ukiwa na vyumba vinne ukafanya kimoja umeboresha lakn nyumba ni ile ile..............kubadili ni kufanya nyumba iwe say kiwanja cha mpira etc
Safi sana Mkuu, na warejee miswada ya serikali ambayo imekuwa ikiwasilishwa bungeni , siyo yote inayopita kama ilivyowasilishwa na wakati mwingine hukataliwa kabisa na kurudishwa. Nawashangaa sana wanaoabudu rasimu wakati ile ni sawa na mswada tu.
 
Na Kama unafikiri Kamti ya Waryoba ndiyo kila kitu unafikiri Bunge la Katiba limeundwa la nini?

i-need-a-hole-in-the-head-like-i-need-a-hole-in-the-head.jpg
 
usisahau kamati ya warioba ndiyo mchakato wenyewe wa wananchi, nawewe nikuulize, kama kuna bunge kwa nini tuwe na kura ya maoni?

Ukumbuke kuwa hata serikali imekuwa ikiwasilisha miswada ya sheria mbalimbali bungueni na siyo yote inayopitishwa, ipo inayofanyiwa marekebisho na ipo inayokataliwa kabisa. Usijifanye kuwa haujui uhusiano uliopo kati bunge na mihimili mingine mkuu. Unajitengenezea upofu usio wa lazima kawa sbabu tu una-personal interest fulani.
 
kwa hiyo wewe uko pamoja na yule mvuta sigara namba moja Tanzania(WARYOBA). Yule kalewa pesa za walipa kodi na kujiona yeye ndiyo kila kitu kwenye Katiba.

anachokisema warioba ndiyo maoni ya watz,tume ilikuwa field na ndicho kilichosemwa! huyo nepi yeye ni vuvuzela tu,anabwabwaja ili mkono uende kinywani tu!
 
Tumia lugha ya staha sijamtukana mtu na usitegemee nitakutukana kama huna comment ya maana bora ungeiacha.Usidhani tabia yako ni sawa na tabia za wengine badilika positively,hata kama inaumiza lakini ukumbuke mabadiliko hayaepukiki ni bora uyapokee sasa kuliko yakukute haujayapokea utaumia mara mia.

Ni akili ya matope sana kuamini kuwa mabadiliko ya Kipengele kimoja cha Katiba tena kwa personal interests za watu eti ndiyo mabadiliko. Pole sana Dada yangu.
 
Kama Bunge linaweza kufanya yote hayo (Ikiwa ni pamoja na kutunga KATIBA kwa maana ya kutozingatia mawazo ya Wananchi); kamati ya Rasimu ya Katiba iliundwa kufanya nini????

wamekula kodi zetu bure walichotoa hakina maana!!

ila wenyewe wanadai kamati ya rasimu kazi yake ilikuwa ni kutoa tu mwanga wa kianzio, eti bunge hilo ndo litatunga katiba
 
anachokisema warioba ndiyo maoni ya watz,tume ilikuwa field na ndicho kilichosemwa! huyo nepi yeye ni vuvuzela tu,anabwabwaja ili mkono uende kinywani tu!

Juzi kwenye mkutano wa TCD nilimsikiliza vizuri sana Waryoba na alisema"Pamoja na kupendekeza serikali tatu, lakini hata wajumbe wa tume yake walitofautiana katika hilo" swali ni je kama ni maoni ya wananchi walikuwa na sababu gani kutofautina wakati wananchi wameamua? ndiyo maana nasema serikali tatu ni personal interests na siyo maoni ya wananchi.
 
Back
Top Bottom