Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

Ubawa wa Nape... ni kufikiria kila kitu kisiasa zaidi ya kiutalamu
Ivi nape huyu si ndiyo alishinikiza Buge ... lisiwe live..,
Once akitolewa kwenye nafasi yake ndio anangundua matatizo kwenye ishu usika
Hawa wakina nape, na underperformance Minister hawapaswi kuwa kwenye nafasi kubwa kama hiyo aliyonayo.....
 
Mfano Airtel kama una salio la kawaida haikubali Data lazima ujiunge bando, hapo unasemaje?
... hiyo sasa ni kazi ya regulator (TCRA) kutoa majibu na solution. Iko hivi, Serikali inamiliki kampuni ya mobile (TTCL) ni opportunity kwao kuweka bando bila expiry date ili wananchi tukimbilie huko then automatically na wengine hawatakuwa na options zaidi ya kuiga ili wabaki sokoni.

Hiyo ndio maana ya competion sio ushindani kutungiwa sheria za kijinga anazo propose huyo mbunge.
 

watu sjui wanataka izi kampuni zipate hasara zifunge ofisi ndo wafurahi
 

huezi kuhudumia nchi nzima mwenyewe lakini pia serikali ikifanya ivo basi uchapa kazi utapungua kwa sababu wako wenyewe hautakua na alternative ingine
 
Wewe Nape ndio maana mzee JPM alikutembeza juani....
Muda utafika tutaheshimiana tu...
 
Ina maana kati ya salio la kawaida yaani vocha na kifurushi kipi kipo kisheria na kipi ni promotion.?
Hebu nielewesheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…