sikujua wala sikufikiria kuwa nape ni kiazi na mweupe kiasi hicho? unasikia kuwa cdm walipewa fedha? maana yke huna hakika ni stori za vijiweni we mwenyewe umekiri,sasa ya nn kiongozi mkubwa kuzungumza mambo ya udaku? na unasema cdm wanavuruga katiba,katiba ipi? kama ni ya zamani sawa maana ni mbovu,ila kama ni mpya itabidi uombe radhi kwa tz,kwsbb cdm ndo waasisi wa katiba mpya tena kwa nguvu ya umma na ccm ndo ambao walipinga na kukataa katiba mpya kama c mwenyekiti wao,leo haingii akirini eti cdm wanaivuruga na ccm wanaitetea wkt walikataa iyo katiba mpya ko huo utetezi umetoka wapi? nape ebu twambia pesa hzo wamepewa na nani na kiasi gani na lini? tuwekee ushahidi hapa,lasivyo nina wasiwasi na elimu yako,vp hoja ya kuvuana magamba imeishia wapi au we umekuwa gamba ck hz?