Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba


Kuyaamini maneno ya Nape inatakiwa uwe na akili ya nyongeza.
 

Hizi ni propaganda zao chafu zisizo na mashiko! Wamezua mengi sana dhidi ya Cdm na wameshindwa! Sasa ata hili swala la Katiba mpya wameanza kuona watashindwa kulihujumu ndo maana wanaongea uongo bungeni na kwenye mikutano Yao! Macho yamebaki kwa Mwenyekiti wao kuwaokoa au kuwaaangusha! Kusaini huo muswada na kua sheria au kuurudisha bungeni kujadiliwa upya!
 
mbowe alidhihirisha kuwa kuishia form 4 ni tqtizo kubwa. alionesha jinsi uelewa wake ulivyo mdogo. kitendo cha kukigomea kiti HAKIKUBALIKI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Bandari ya Tanga imetajwa katika ripoti ya umoja wa mataifa kua ndo njia ya Mihadarati kubwa Kwa Africa mashariki! Leo Nape na yeye anatusaidi kutoa Ripoti Yake ya kuingizwa Fedha kwa minajili ya kufadhiliwa Cdm! Ikumbukwe kua aliwahi kuja na tuhuma za Cdm kuingiza silaha nchini na alipobanwa sana na kutaka kufunguliwa mashitaka na Cdm akawa kimya! Swali ni kwa hapo badae atakuja na Habari gani tena mpya?
 
Huyu ndio tegemeo la ccm kilaza nape nafikiri hata mkewe anafikira zaidi kuliko yeye
 
mbowe alidhihirisha kuwa kuishia form 4 ni tqtizo kubwa. alionesha jinsi uelewa wake ulivyo mdogo. kitendo cha kukigomea kiti HAKIKUBALIKI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Umelewa na buku7 wewe! Umeshapata viroba vingapi na jamaa yako Naibu spika na Nape wenu a.k.a Vuvuzela?
 

Ni kweli maana Cdm hawakugoma bungeni peke Yao! Nccr na Cuf pia waligoma na kutoka nje! Sasa Nape atumbie hizo pesa wamepewa Cdm tu!?
 
Kwan nyie mafisadi hampewi fedha na wahsani pamoja na kutuibia wanyonge
 
Duh kumbe fedha toka ughaibuni ndizo zinarusha chopper angani?

Pamoja na anti-money laundering measures zote hizo pesa zinaingiaje hapa nchini? Serikali si izi freeze kama kweli zinakuja kwa nia ya kuharibu mchakato wa katiba.

Pole Kimbunga. Kwa uwezo wako, umefikia hatua ya kushindwa kuhoji akili ndogo kama ya Nape!?!?
 
CUF na NCCR je wamepewa hela pia kwenye hili?
Kweli CDM kiboko yao.

Ndio tatizo la hizi degree za madesa. Eti jamaa nae ana masters! Kweli hivi vyuo walivyosoma huyu jamaa na Lyatonga Mrema, ni kiboko!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kijana kama nape anaonekana kuwa ni muelewa ila nafikili kwa nafasi aliyo pewa aitendei haki nafsi yake maana HUU NDO UJINGA MKUBWA AMEWAI KUONGEA KULIKO WOTE ALIO WAI KUONGEA, ni kutokana na maneno yake yanaweza kuleta madhara makubwa nchini sema wao wanafikilia ccm tu awawafikilii watanzania wanaona wanaweza kuongea chochote.
 
Haaa haa haa ivi huyu Nepi cjui pampers alizaliwa akiwa katibu wa ccm au maana nimefikiri wee nimeshindwa pata jibu kua ilikuaje kati ya magamba woote tuliopo tukaona huyu kioja ndo apewe hicho cheo(jamaa anatia aibu kwa pumba zake isee)
Kila kukicha CDM wameingiza mabilioni sasa najiuliza wakati yanaingizwa serikali ilikua wikend ikila bata au?? Au yeye anataka labda wayapeleke Uswisi??
Nawalaumu wananchi wa Kahama kukaa wakimsikiliza huyu mtu muongo kutoka katika chama chetu badala ya kuendelea na shughuli zao!Kweli chama changu kimezeeka tujiandee tu kufunga safari iyo 2015
 
ni bora wanao pewa kuliko nyie mnao haha sasa hivi na SEMBE ili mpate pesa za uchaguzi 2015.
harafu hata kama wanavuruga wanalodai na kulivurugia lina mashiko kwa watanzania wengi

Kumbe amesikia "HEARSAY EVIDENCE IS NOT ADMISSIBLE"
 
Ukabila ukashindwa,udini ukashindwa,ugaidi ukashindwa,ukanda ukashindwa,sasa wameibuka na jipya la ufadhili kutoka kwa wazungu sijui nalo itakuwaje?
 
Hahahaha tanzania eh!mwanangu kuwa uyaone ..nchi hi mkikubali kuendeshwa na wanasiasa tutakwisha wakati wakubwa wanapanda chopa wanasepa...hzo hela znazotumiwa kutembea na chopa c musaidie wenye shida...BLOODLY FOOL ...(cdm,ccm)
 
Kwa kiongozi mwenye hadhi ya kitaifa kuja na madai kama haya inatia mashaka sana hasa kutokana na nchi kwa sasa kukumbwa na wimbi la usafirishaji na utumiaji wa dawa haramu za kulevya sio ajabu wengi tumeshahathirika bila kujijua!
 
masikini ya mungu VUVUZELA.. pole sana nape mwandosya
 
Ni aibu kwa kiongozi kama Nape kutoa shutuma kwa kudhani, eti atuambie alienda nje kufanya nini? Nape njoo na ushahidi ndiyo hoja yako itakuwa na mashiko. Vinginevyo mnapoteza pesa na muda kujalibu kuwahadaa wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…