Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakula hela za bando kwenye makampuni.Toa mifano jinsi anavyosimama na matajiri kutukandamiza, sio unaleta hoja bila utetezi. Ni hoja mfu
Watu wenye vipara sio wa kuwaamini na kuwapa nafasi yoyote katika ofisi ya umma au binafsi.We umemwona Nape tu wa umeme na maji mbona hauwazungumzi na umeme unakatwa kila siku sio kwamba mvua hazijanyesha.
Anatetea majizi, madhulmat waliojificha kwenye makampuni ya simu.Toa mifano jinsi anavyosimama na matajiri kutukandamiza, sio unaleta hoja bila utetezi. Ni hoja mfu
Wenyewe wanadai baba ake Nape bado anadunda. Ni yule Profesa Mnyakyusa.Nibachojua babake(Moses Nauye) alikufa kwa vile hakua mtu mwema
Alideki barabara za Lindi kwa mikono yake...[emoji2827]Ndugu zangu sina chuki,wivu wala sina ugomvi na mh.Nape,lakini ukweli sijaona chochote ambacho amefanya chenye maana ambacho kina manufaa kwa watanzania zaidi ya kusimama na matajiri kutukandamiza wanyonge.Kama kuna yeyote mwenye kujua atujuze,tuweze kumpongeza maana ni mwana jf mwenzetu kitambo sana.
Hayo mengine zungumzia wewe, Jf hawatozi hela kufungua uzi humuWe umemwona Nape tu wa umeme na maji mbona hauwazungumzi na umeme unakatwa kila siku sio kwamba mvua hazijanyesha.
Toa mifano jinsi anavyosimama na matajiri kutukandamiza, sio unaleta hoja bila utetezi. Ni hoja mfu