No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Ok nilikuwa nashangaa tu....Ni kutokana na mkandarasi aliyechukua tenda eneo husika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nilikuwa nashangaa tu....Ni kutokana na mkandarasi aliyechukua tenda eneo husika.
Mimi nakumbuka moja aliomba radhi kwa watumishi wa umma kulazimishwa kutumia line za TTCLNdugu zangu sina chuki,wivu wala sina ugomvi na mh.Nape,lakini ukweli sijaona chochote ambacho amefanya chenye maana ambacho kina manufaa kwa watanzania zaidi ya kusimama na matajiri kutukandamiza wanyonge.Kama kuna yeyote mwenye kujua atujuze,tuweze kumpongeza maana ni mwana jf mwenzetu kitambo sana.
Duu!,kama kweli alifanya hivyo Mungu atamlipa.Ukimuuliza Nape bila shaka atakujibu , kama kulikuwa na nguvu ya Methew mwenyewe au Chadema , bali hakuna mashaka kwamba Methew alikamatwa kwa kusingiziwa uongo wa kutaka kumhonga DED ili atangazwe mshindi .
Methew alienda ofisi ya Ded kuhakiki fomu zake ila akabadilishiwa kibao kwa hisani ya Mtukufu Nape