Nape: Kampuni za Simu haziongezi bei za vifurushi bila idhini ya TCRA

Mimi nakumbuka moja aliomba radhi kwa watumishi wa umma kulazimishwa kutumia line za TTCL
 
Duu!,kama kweli alifanya hivyo Mungu atamlipa.
 
Hongera sana Nape kwa kutujuza kwamba kumbe wanaotusomesha namba sio kampuni za simu bali ni serikali wenyewe!!

Na kweli raia wanaisoma namba...Alhamdullilah nilihamia Post Paid mapema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…