Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kuna watu wanamkosoa kuhusu gharama za bando mtandaoni naye anawajibu kuwa muda huo wangeutumia kufanya kazi nyingine wasingelalama kuhusu bando.
Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.
Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022
Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.
Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022