Nape: Muda mnaotumia kulalamika kuhusu bei za bando mngefanya shughuli nyingine

Nape: Muda mnaotumia kulalamika kuhusu bei za bando mngefanya shughuli nyingine

Huyu Jamaa naona kajisahau Sana, amesahau kabisa Enzi za Magufuri alikuwa Na hali Gani.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kuna watu wanamkosoa kuhusu gharama za bando mtandaoni naye anawajibu kuwa muda huo wangeutumia kufanya kazi nyingine wasingelalama kuhusu bando.

Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.

Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022
kumbe kuongea ni kutokufanya kazi . kuna wanaofanya kazi huku wanalalamika . ndiyo maana wanasema Kumsifia mwanasiasa kwa kuwa amejenga shule , hospital kwa kupitia pesa ya uma . Ni sawa na kuisifia ATM kwa kukupa pesa zako.
 
Hawa wamebebwa bebwa mpaka kufika hapo,wengine wote wanawaona F tu

Ova
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kuna watu wanamkosoa kuhusu gharama za bando mtandaoni naye anawajibu kuwa muda huo wangeutumia kufanya kazi nyingine wasingelalama kuhusu bando.

Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.

Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022
Hizi ni kauli za mtu aliyeshiba pesa za waajiri wake ambao ndo anawajibu hivo baada ya kupatiwa mamlaka.
 
Huyo Waziri hafai kuwepo hapo wahuni walivyomtoleq bastora alirudi kwa Wananchi kutia huruma leo kasahau kabisa anajibu anavyotaka na Mama anamuangalia tuu bora aende sehemu ingine sio huku kunahusisha jamii kubwa sana..
 
Hongera Sana Mheshimiwa. Watu WAVIVU sana
 
Back
Top Bottom