Watu kama nyinyi ndiyo aina ya viongozi tulionao ambao wanafanya Tanzania bado inahangaika na maji, afya na elimu.Waziri yupo sahihi
Huyu waziri sifuri kabisa kama haelewi hili.Kuna watu shughuli zao zinahusisha bando ndio maana wanalalamikia kuongezeka kwa gharama za bando.
Nape ni mfano mzuri wa mtu ambaye kabla ya uomgozi alikuwa mtiifu lakini baada ya kupata nafasi anawadharau wasio viongoziWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kuna watu wanamkosoa kuhusu gharama za bando mtandaoni naye anawajibu kuwa muda huo wangeutumia kufanya kazi nyingine wasingelalama kuhusu bando.
Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.
Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022
Jamaa kiburi halafu ignoranceWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kuna watu wanamkosoa kuhusu gharama za bando mtandaoni naye anawajibu kuwa muda huo wangeutumia kufanya kazi nyingine wasingelalama kuhusu bando.
Kauli hii ya waziri, imeenda kinyume na sera ya TEHAMA 2016 inayotaka kukuza fursa za mtandaoni kwa kuwa na gharama nafuu za data na mtandao unaopatikana daima.
Waziri ametoa kauli hii katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 lililofanyika JNICC, Desemba 17, 2022
Nafasi za kubebwabebwa tabu sanaHuyu waziri sifuri kabisa kama haelewi hili.