Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Wapinzani ni watanzania na siyo mamluki. CCM ikiua upinzani ambao upo kikatiba hakitabaki salama. Upinzani utahamia ndani ya ccm. Tusije tukafurahia sana hii biashara inayoenelea hivyo sasa. Ina madhara makubwa mbele ya safari.
 
Wakakodi hata drone walivurumuwe hili jiwe maana ghalika inakuja likiachwa na uzuri likishafyeka upinzani likwenda na kwenye chama chao litafyekelea mbali mahasimu wake kama huo mpango upo wachangishe fedha tuchangie tumfurumushe nduli
 
CCM haipo salama na hawa wafia njaa wanaomiminikia huko wajiandae siku za misukosuko hazipo mbali ni 2020..
 
kama hii habari ni kweli "... basi naomba harakati zao zifanikiwe
 
Huoni aibu kuzua hekaya ya kufikirika kweupeee...bila hata ya chembe ya uthibitisho.
 
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,

Lisemwalo lipo, kama halipo basi laja.
Tungojeee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…