hakuna wakumyumbisha magufuli ndani ya ccm na hatatokea, pia wananch wengi wanampenda sana jpm kwamazr aliyoyatenda ndani ya miaka mitatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mnafiki ndo maana jiwe alikukata.HUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!
Wapinzani ni watanzania na siyo mamluki. CCM ikiua upinzani ambao upo kikatiba hakitabaki salama. Upinzani utahamia ndani ya ccm. Tusije tukafurahia sana hii biashara inayoenelea hivyo sasa. Ina madhara makubwa mbele ya safari.Wakifanikiwa kuua upinzani kwa kuhujumu vyama vya upinzani, roho ya upinzani haitawaacha salama. Itaendelea hata kama ni ndani ya chama kimoja. Na hapo huenda ikawa mbaya zaidi kiasi cha kufikia kupinguana kwenye madaraka. Hivi vyama wanavyovihujumu vinawapa fursa na nafasi ya kutolea nyongo, sasa vikifa unafikiri watu watafanyaje kutoa dukuduku zao?
Si umesikia anasema atafukuzwa akachunge mbuzihakuna wakumyumbisha magufuli ndani ya ccm na hatatokea, pia wananch wengi wanampenda sana jpm kwamazr aliyoyatenda ndani ya miaka mitatu
Sent using Jamii Forums mobile app
HowLisemwalo lipo, mzimu wa Membe utatesa sana...
Wanaogopa kimya kingi....Yani Membe pamoja na Kukaa kimya bado anaonekana kikwazo!!
Tanzania Nchi huru..Hii sasa ni Kero..
Natamani kujua elimu yako kwanza nijue nianzie wapi kukufundisha,hakuna wakumyumbisha magufuli ndani ya ccm na hatatokea, pia wananch wengi wanampenda sana jpm kwamazr aliyoyatenda ndani ya miaka mitatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mfanye fitna zote huko...Sasa kama anaenda kinyume tufanyeje
hahaa Yajayo...............Naona sasa mmeanza kugombania fito... kweli nyama ya mtu ukila huachi, Nyerere bwana!!!
Huoni aibu kuzua hekaya ya kufikirika kweupeee...bila hata ya chembe ya uthibitisho.Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi
Mambo ya ccm waachie wenyewe,hayo mengine ni majunguYani Membe pamoja na Kukaa kimya bado anaonekana kikwazo!!
Tanzania Nchi huru..Hii sasa ni Kero..
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,