love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Muulzen mpango anajua kila kitu manaogopa nini kumuulza.Hao waliopita lini waliwahi kusema wao ni wasafi na wasema kweli? Huyo aliyekuwa Rais wa wanyonge ndiyo alikuwa anasema yeye anachukia ufisadi na ni msema kweli. Sasa akichunguzwa kuna shida gani? Wanyonge mnatakiwa mjue ukweli kuhusu aliyekuwa Rais wenu ili mjue ni jinsi gani aliwapambania.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ni kweli kabisa una haki ya kutoa maoni kama ambavyo na sisi tuna haki hiyo hiyo ya kukuambia kwamba maoni yako ni ya kindezi na kipimbi sana, yaani hatutaacha kukukumbusha hilo...Chief, sipo kabisa kwenye kutoa maamuzi au kupendekeza nini kifanyike, lakini ni haki yangu kutoa maoni. Chukulia haya kama maoni yangu na mtazamo wangu.
Uchunguzi/ ukaguzi unahitaji pesa. Na kama CAG anafanya kazi zake kwa ufanisi, alitakiwa awe ameshabaini tuhuma za huyu Nnnnnape.
Ni kupoteza rasirimali za taifa kwa vitu ambavyo mnajua havitatufikisha popote zaidi ya kutumika kisiasa tu.
Kweli kabisa, kama kila Rais angekuwa ni kujenga jenga tu, kukwapua fedha za wafanya biashara, kutopandisha madaraja wala kuajiri, kukopa kopa kama yeye, si kila Rais angejenga tuHuwa nawashangaa sana watu wakisema na kujimwambafai Magufuli kafanya hiki, Magufuli kafanya hiki. Ingekuwa kazi ya urais ni kuchukua mamikopo na kujenga madalaja basi Marais wote wangefanya hivyo. Urais una takiwa kuangalia mambo mengi sana na yote yaende kwa pamoja.
Awamo ya tano tuliingizwa chaka na itachukua miaka mingi sana kufix athari iliyosababaisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna waliofaidika na JPM kwa kula cha juu kikubwa!
Utawasikia wakienda kwa waganga ili kuzuia uchunguzi🙂[emoji1787][emoji1787]
Afunguliwe Mbowe asulubiwe JiweMbaya zaidi alikopa ili kujenga zaidi sana kule kwao.
Uwanja Chato, Busisi na SGR kwenda kwao wakati hata kuikarabati TAZARA hatukuwahi kumsikia.
Asulubiwe!!
Ni kweli kabisa una haki ya kutoa maoni kama ambavyo na sisi tuna haki hiyo hiyo ya kukuambia kwamba maoni yako ni ya kindezi na kipimbi sana, yaani hatutaacha kukukumbusha hilo...
itajulikana hapohapo kwani sabaya alikuwapo sirikali ganNafikiri serikali iliyopo Sasa ni ile ile iliyokuwepo, kuanzia Rais, Makamu na waziri Mkuu.
Sasa kama ni hivyo uoga wa nini kumkagua?Hivi wewe na akili yako ulimuona JPM anaweza kuficha hela hata Billion moja wewe? Azifiche wapi? Huelewi jinsi walivyokuwa wanamuwinda kumuumbua? Aipeleke benki ipi? Angalikuwa ni JK sema huyo ni mjanja tangu awamu ya pili na Barick yake.
Labda lengo lake ni fisadi kuu aliyekuwa kwenye kichaka cha unyonge ajulikane
Siyo kesi, kwani zilishapotea nyingi, Rais wa wanyonge lazima alikuwa msema kweli so usiogope.Chief, sipo kabisa kwenye kutoa maamuzi au kupendekeza nini kifanyike, lakini ni haki yangu kutoa maoni. Chukulia haya kama maoni yangu na mtazamo wangu.
Uchunguzi/ ukaguzi unahitaji pesa. Na kama CAG anafanya kazi zake kwa ufanisi, alitakiwa awe ameshabaini tuhuma za huyu Nnnnnape.
Ni kupoteza rasirimali za taifa kwa vitu ambavyo mnajua havitatufikisha popote zaidi ya kutumika kisiasa tu.
Nani angeweza kipindi cha mwendakuzimu?Siyo ku-panic; bali kudadisi mantiki ya pendekezo au ushauri huo. Nape alikuwa Mbunge tangu wakati wa JPM. Kwa nini hakutumia wadhifa wake huo wakati ule kupendekeza anayoyasema hivi sasa, akasubiri hadi leo kuja kufanya hivyo? Hapo hapo, alikwenda kumwomba msamaha JPM na hakuwa na la kumtonya Rais kuhusu udhalimu anaoufahamu ukifanyika. Hiyo ndiyo shaka yetu kwamba ni uchumia tumbo ndio unamtuma kufanya hivyo. Siyo shauri la ku-panic.
Siyo kesi, kwani zilishapotea nyingi, Rais wa wanyonge lazima alikuwa msema kweli so usiogope.
Na kwann alikuwa mwoga kuambiwa kuna Hera hazina mahesabu yule hakuwa malaika huenda kuna akili zake zilifisadiHivi wewe na akili yako ulimuona JPM anaweza kuficha hela hata Billion moja wewe? Azifiche wapi? Huelewi jinsi walivyokuwa wanamuwinda kumuumbua? Aipeleke benki ipi? Angalikuwa ni JK sema huyo ni mjanja tangu awamu ya pili na Barick yake.
Hujui serikali yake ilikuwa na demokrasia ndiyo maana uovu wake ulijulikana. Sasa ni zamu ya jiweAlishindwa kuabika kikwete angali hai sembuse hayati
Kutokusema ni wasafi siyo justification ya uovu wao. Acha uchunguzi ufanyike kama ni msafi uoga wa nini? Unasema aulizwe Mpango? Yule bwana alisema hashauriki na waliojaribu kumpa ushauri unajua kilichowapata, sasa unasema aulizwe Mpago! Unatumia nini kufkri?Muulzen mpango anajua kila kitu manaogopa nini kumuulza.
kwahiyo kutosema ni wasafi ni kujustify ufisadi ?
unatumia nini kufkri?
Nani anaogopa?Kutokusema ni wasafi siyo justification ya uovu wao. Acha uchunguzi ufanyike kama ni msafi uoga wa nini? Unasema aulizwe Mpango? Yule bwana alisema hashauriki na waliojaribu kumpa ushauri unajua kilichowapata, sasa unasema aulizwe Mpago! Unatumia nini kufkri?
Huwezi kumlaumu mtu yeyote aliyekuwepo kwani jiwe alisema yeye hashauriki, au umesahau?Kama kulikuwa na kasoro kwenye awamu ya 5 kuhusu hizo fedha za mkopo, ina maana hata aliyrkuwa VP, PM na WFM wanahusika kwa asilimia za kutosha.
Nafikiri Mhe. Nape ana jambo lake binafsi na si kwamba anamtengeneza mama. Anambomoa kidogokidogo ili ikifika 2025 upepo ubadilike. Nadhani wana lengo lao na yule jamaa wa TANESCO mwaka 2025.
Unajua hata context ya demokrasia?Hujui serikali yake ilikuwa na demokrasia ndiyo maana uovu wake ulijulikana. Sasa ni zamu ya jiwe