Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Hao waliopita lini waliwahi kusema wao ni wasafi na wasema kweli? Huyo aliyekuwa Rais wa wanyonge ndiyo alikuwa anasema yeye anachukia ufisadi na ni msema kweli. Sasa akichunguzwa kuna shida gani? Wanyonge mnatakiwa mjue ukweli kuhusu aliyekuwa Rais wenu ili mjue ni jinsi gani aliwapambania.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Comrade binafsi sipingi uchunguzi wowote ila, nasema ila waanzie huko nyuma although hata waziri wa fedha kasema wakati mnazipelekq akili zenu kwenye upekuzi pia angalieni yale yanayo onekana.
 
Hiyo itakuwa fursa kwa wakaguzi, ngoja wapige hela za kukagua mapato na matumisi ya pesa za nje
 
Mnaosema Nape ana maslahi yake kisiasa mnamaanisha asiseme hata kama kuna jambo analifahamu? Nafikiri kafanya jambo la maana ili tujue ukweli, swala la kuchukuliwa hatua kwa wahusika ilo ni hatua nyingine.
 
Zimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.

Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.

Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?

UKAGUZ UFANYIKE ILI TUONE HUYO ANAESIFIWA KUWA NI MZALENDO NA ALIKUWA ANAFANYA MIRADI KWA FEDHA ZETU ZA NDANI TUMUONE NA TUUJUE UKWELI WAKE
 
Mnaosema Nape ana maslahi yake kisiasa mnamaanisha asiseme hata kama kuna jambo analifahamu? Nafikiri kafanya jambo la maana ili tujue ukweli, swala la kuchukuliwa hatua kwa wahusika ilo ni hatua nyingine.
Nape ametimiza majukumu yake.
 
Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?

Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.

Watatafutwa “wanyonge” hasa wale wenye kuleta fitna waangushiwe jumba bovu.

Ndio maana sasa Rugemalira kaamua kuchukua nafasi ya DPP ili ashitaki walioiibia serikali pesa za Tegeta Escrow na kumuangushia yeye jumba bovu.
 
Kuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.

Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wezi na wanyang'anyi flani.

Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.

Mkuu wasiwasi wako ni late Magufuli kuchafuliwa? Unajua hata Nyerere ana mauzauza yake yanayokosolewa hadi leo?
 
Hata mimi shabiki kindakindaki wa Hayati Rais Magufuli naunga mkono hoja ya CAG kukagua pesa zote za mikopo za Awamu ya Tano na matumizi yake. Na katika kufanya good comparison CAG pia akague na za Awamu ya Nne na Tatu na matumizi yake ili tuone zipi zilileta tija zaidi. Kukagua za Awamu moja tu utakuwa ni usanii.
Wewe huipendi CCM. Sio?
 
Kuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.

Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wezi na wanyang'anyi flani.

Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.
Nimeelewa mkuu
 
Ukaguzi ufanyike ili wananchi tuujuwe ukweli maana mpaka leo kuna ile 1.5 Trilion haijulikani ilipo!
Walipaji wa hayo madeni ni wananchi hivyo hawana budi kufahamu fedha zao zimetumika vipi!
ni kweli nape aweza kuwa na sabab zake za kisiasa, lakin kwa hili amegusa maslahi ya wananchi pia!
Kwanza kabisa tujue pesa za Andrew chenge vijisent alizitoa wapi na kwa nn alisema vijisent tu na kwa nn lowasa alijitoa madarakani kwa masrahi ya nani

Epa
Tegeta escrow
Dowans zote CAG ANGEKAGUA NDIO HAPO TUJUE NINI KINACHOENDELEA
CCM WOTE NI WAIZI FANYA KAZI NUFAISHA FAMILIA YAKO OVA
 
Hata mimi shabiki kindakindaki wa Hayati Rais Magufuli naunga mkono hoja ya CAG kukagua pesa zote za mikopo za Awamu ya Tano na matumizi yake. Na katika kufanya good comparison CAG pia akague na za Awamu ya Nne na Tatu na matumizi yake ili tuone zipi zilileta tija zaidi. Kukagua za Awamu moja tu utakuwa ni usanii.
Kweli
 
Kwahiyo hoja yako ni ipi? Kwamba CAG akague pesa za mkopo kipindi cha Magufuli ambazo aliishazikagua ila asikague za Awamu zingine kwasababu aliishazikagua?
Awamu ya 5 CAG alikosa access ya kukagua shilingi 1.5 trilioni na za baadhi ya mafungu (according to his report). Labda wadau wapendekeze hizo tu.
 
Kwanza kabisa tujue pesa za Andrew chenge vijisent alizitoa wapi na kwa nn alisema vijisent tu na kwa nn lowasa alijitoa madarakani kwa masrahi ya nani

Epa
Tegeta escrow
Dowans zote CAG ANGEKAGUA NDIO HAPO TUJUE NINI KINACHOENDELEA
CCM WOTE NI WAIZI FANYA KAZI NUFAISHA FAMILIA YAKO OVA
Kosa ka kiongozi mmoja halihalalishi kiongozi mwingine kufanya vivyo.
Suala la kuanza ukaguzi ni hili lililopo mezani-mikopo ya matrillioni yametumika vipi.
 
Majizi na Mafisadi ya CCM yamepanic
200 (3).gif
 
Je madai ya muheshimiwa Nape juu ya mikopo kipind cha Mwendazake na kupanda kwa deni la Taifa je Nape ana hoja ya msingi kutaka ufanyike ukaguz wa matumiz yake?

1636660040210.jpg
 
Back
Top Bottom