Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wa Milembe wapo hivyo.. wanatuona sisi tulioko nje ndo hatuna akilikichaa amemuona kichaa mwenzake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Milembe wapo hivyo.. wanatuona sisi tulioko nje ndo hatuna akilikichaa amemuona kichaa mwenzake!
Jamhuri ya Twitter iko kwenye kikaangioYafanyieni kazi aliyoyaongea huyo jamaa, msimuite kichaa
Ndugu day kasoma akapata division fourHi huyu nipa kaishia darasa la ngapi kama kuna mtu Mwenye cv yake aiweke hapa.
Wewe wa kupimwa akili.... haya ona hiziWanaolalamika wengi "A bunch of useless misukule, toxic people na wafuasi wa wanasiasa na wanaharakati"
Hakuna mtu mwenye akili timamu analalamika sana
Yaani hiyo list mniweke na mimi..!!!Mkuu naomba uniongeze kwenye list ya wafuasi. Hata mimi simuelewi mama yako
Tena Nape mwenye kasema wale waliokuwa na vyeti fake, nusu wamerudishwa kazini, sasa anategemea hao nusu waliobaki kitaa WANAMUELEWA MAMA?Kwani lazima kila raia amwelewe?
Watu kama akina Nape ndo wanomwambia mama kuwa mabo yapo safii.. Kumbe huku kitaa tunateseka haswaa..!! Niliupenda ushauri wa jamaa aliyeitwa kichaa kuwa.. MAMA ASIWAPE WATU MASIKIO, AENDE MWENYEWE DUKANI AKAJIONEE HALI HALISINape naona umenza kujisahau!
Hivi watu kuelezea hisia zao ni dhambi?
Unajua kweli yanayoendelea mtaani au umeshashiba ?
Mambo ya ajabu sana haya, halafu tunatarajia watu kama hawa wamsaidie mama kututoa hapa tulipo! sidhani!
kwani kunakosa gani mtu kueleza hisia zake."Tulifungia vyombo vya habari, tumevifungulia bila masharti, je hawamuelewi mama?,
wafanyakazi wa Umma walikaa miaka mingapi bila kupandishiwa mshahara?,mama juzi kasema jambo lenu lipo, halafu anakuja mtu anasema mtaani watu hawamwelewi mama?"
~Nape Nnauye
----
View attachment 2218275
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezungumza kuhusu kauli ya ‘mama hatukuelewi’ ambayo anadai kuna watu wamekuwa wakiitumia wakimaanisha hawamuelewi Rais Samia Suluhu.
Huyu hapa Nape akizungumza katika Ufunguzi wa Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali, Mei 9, 2022 Jijini Tanga katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera:
“Mtu mmoja nimeona amerekodi video anasema ‘Mama huku mtaani watu hawakuelewi’, inawezekana wapo kweli ambao hawamuelewi, lakini nikajiuliza wale waliofukuzwa kwa vyeti feki wamerudishwa kazini.
“Watoto waliofukuzwa kwa ujauzito na walioacha shule kwa sababu mbalimbali wameruhusiwa kurudi shule.
“Kuna watu wamefunguliwa akaunti za biashara zilifungwa kwa sababu mbalimbali, bado unasema watu hawamuelewi, lakini kwa sababu hajibiwi inaonekana ni kama kweli watu hawamuelewi.
“Nilikuwa Karatu wakati nakagua mradi wa Anwani za makazi, wakaniambia kuna wakati ulikuwa ukitoka Karatu kwenda Arusha hukutani na magari ya watalii, lakini sasa hivi yanapishana tu magari ya utalii.
“Tumefungua vyombo vya habari bila masharti, wafanyakazi wa Serikalini walikaa miaka mingapi bia kupandishiwa mshahara, mama ameshasema jambo lenu lipo, hao nao hawamuelewi mama?
“Anaachwaje mtu kichaa mmoja hivi anasema ‘unajua huku hawakuelewi’, nawapa changamoto maofisa habari, unapokuwa afisa habari wewe ni katibu Mwenezi wa Serikali, wajibu wako ni kuwafanya wananchi waielewe Serikali.”
Chanzo: Maelezo
Duh bado haujapona depression, usichukulie poa tafuta tiba stress za maisha zitakuuaWanaolalamika wengi "A bunch of useless misukule, toxic people na wafuasi wa wanasiasa na wanaharakati"
Hakuna mtu mwenye akili timamu analalamika sana
Mimi namuelewa mama lakini siwezi kusimama mbele ya Umma kuwabeza wanaosema hawamuelewi."Tulifungia vyombo vya habari, tumevifungulia bila masharti, je hawamuelewi mama?,
wafanyakazi wa Umma walikaa miaka mingapi bila kupandishiwa mshahara?,mama juzi kasema jambo lenu lipo, halafu anakuja mtu anasema mtaani watu hawamwelewi mama?"
~Nape Nnauye
----
View attachment 2218275
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezungumza kuhusu kauli ya ‘mama hatukuelewi’ ambayo anadai kuna watu wamekuwa wakiitumia wakimaanisha hawamuelewi Rais Samia Suluhu.
Huyu hapa Nape akizungumza katika Ufunguzi wa Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali, Mei 9, 2022 Jijini Tanga katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera:
“Mtu mmoja nimeona amerekodi video anasema ‘Mama huku mtaani watu hawakuelewi’, inawezekana wapo kweli ambao hawamuelewi, lakini nikajiuliza wale waliofukuzwa kwa vyeti feki wamerudishwa kazini.
“Watoto waliofukuzwa kwa ujauzito na walioacha shule kwa sababu mbalimbali wameruhusiwa kurudi shule.
“Kuna watu wamefunguliwa akaunti za biashara zilifungwa kwa sababu mbalimbali, bado unasema watu hawamuelewi, lakini kwa sababu hajibiwi inaonekana ni kama kweli watu hawamuelewi.
“Nilikuwa Karatu wakati nakagua mradi wa Anwani za makazi, wakaniambia kuna wakati ulikuwa ukitoka Karatu kwenda Arusha hukutani na magari ya watalii, lakini sasa hivi yanapishana tu magari ya utalii.
“Tumefungua vyombo vya habari bila masharti, wafanyakazi wa Serikalini walikaa miaka mingapi bia kupandishiwa mshahara, mama ameshasema jambo lenu lipo, hao nao hawamuelewi mama?
“Anaachwaje mtu kichaa mmoja hivi anasema ‘unajua huku hawakuelewi’, nawapa changamoto maofisa habari, unapokuwa afisa habari wewe ni katibu Mwenezi wa Serikali, wajibu wako ni kuwafanya wananchi waielewe Serikali.”
Chanzo: Maelezo
Kitu kizuri tunakufahamu.... fikra zako zinaendana na jina la aliye madarakani wakati huo. Wakati wa Jakaya ulikuwa na mtazamo tofauti na wakati wa John na leo una mtazamo tofauti wakati wa Hassan.Unaonesha fikra zako ni mfu.
Ni nini usichokielewa?