FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Alikuja kuomba kazi kwako?Hi huyu nipa kaishia darasa la ngapi kama kuna mtu Mwenye cv yake aiweke hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuja kuomba kazi kwako?Hi huyu nipa kaishia darasa la ngapi kama kuna mtu Mwenye cv yake aiweke hapa.
Kwa akili yako habari mpaka ziwe huko ulipopataja ndio waandishi wazipate? Hao watakuwa waandishi au copycats?Halmashauri ya wilaya, mji mdogo, mji au manispaa na jiji hazina akaunti youtube, facebook pages au instagram pages hao maofisa habari updates za kazi za serikali wanawapaje wananchi wao au wapowapo tu
Yako wapi maoni yako?hiyo sio hisani maoni yetu ni muhimu
Si waseme ni nini wasichokielewa. Tuwaeleweshe."Kama hawamwelewi si uwaeleweshe tu, sasa makasiriko yanini..."
Alisikika mlevi mmoja akibwata
Hatumuelewi mama kwa yafuatayo;
1. Mfumuko wa bei umekuwa juu kuliko wakati mwingine wowote hivyo kuathiri maisha ya mtu mmoja mmoja kwa asilimia 100.
2. Amekuwa mtu wa too tu;
- Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.
- Vyakula vimepanda bei...
3. Kuna upigaji na uzembe, business as usual. Mianya ya kuchapa rasilimali za nchi imerudi, matokeo ywke tutayajua in the near future.
- Tozo za miamala zunaumiza sana raia, anayetuma pesa anakatwa kodi+tozo, anatetoa pesa the same.
- Tozo ya tsh100 plus ongezeko kubwa la bei ya mafuta vinamuumiza mwananchi kwa kiasi kikubwa mno. Hakuna subsidies kutoka serikalini kumsaidia mwananchi?
4. Nchi imerudi kwa wachache, the elites..the chosen ones huku mamilioni wakihisi wametengwa na serikali yao.
5. Anasisitiza-na bado, bei za vitu zinazidi kupaa, maisha yatazidi kuwa jiwe.
She simply doesn't have a road map in her leadership, yupo tu..nchi inaenda tu.
Simuelewi...
Umemjibu nape au mama yenu?Hata yeye sidhani kama anahitaji kueleweka kwa kila mtu.
Jambo la Msingi Ni kwamba HAKUNA UNACHOWEZA KUBADILISHA.
Ishakua lazima sasa,Asilazimishe kila mtu amuelewe Mama yake!
Mi mwenyewe sikuelewi "vida vya ujenzi"ni kitu gani?Mimi mwenyewe simuelewii hata kidogo
Angalia bei ya vida vya ujenzi
Watakao muelewewa niwale kijijini ambao wanaka kula tuuu
The guy is good and is a good Samaritan and he wishes Samia well, kazi kwa Samia , Nampe bwege sana fala garasa kabisa
Sawaa hatulazimishani mkuu kuelewanaMi mwenyewe sikuelewi "vida vya ujenzi"ni kitu gani?
Mama tuna mwelewa vizuri. Wasiomwelewa ni roho zao tu"Tulifungia vyombo vya habari, tumevifungulia bila masharti, je hawamuelewi mama?,
wafanyakazi wa Umma walikaa miaka mingapi bila kupandishiwa mshahara?,mama juzi kasema jambo lenu lipo, halafu anakuja mtu anasema mtaani watu hawamwelewi mama?"
~Nape Nnauye
----
View attachment 2218275
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezungumza kuhusu kauli ya ‘mama hatukuelewi’ ambayo anadai kuna watu wamekuwa wakiitumia wakimaanisha hawamuelewi Rais Samia Suluhu.
Huyu hapa Nape akizungumza katika Ufunguzi wa Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali, Mei 9, 2022 Jijini Tanga katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera:
“Mtu mmoja nimeona amerekodi video anasema ‘Mama huku mtaani watu hawakuelewi’, inawezekana wapo kweli ambao hawamuelewi, lakini nikajiuliza wale waliofukuzwa kwa vyeti feki wamerudishwa kazini.
“Watoto waliofukuzwa kwa ujauzito na walioacha shule kwa sababu mbalimbali wameruhusiwa kurudi shule.
“Kuna watu wamefunguliwa akaunti za biashara zilifungwa kwa sababu mbalimbali, bado unasema watu hawamuelewi, lakini kwa sababu hajibiwi inaonekana ni kama kweli watu hawamuelewi.
“Nilikuwa Karatu wakati nakagua mradi wa Anwani za makazi, wakaniambia kuna wakati ulikuwa ukitoka Karatu kwenda Arusha hukutani na magari ya watalii, lakini sasa hivi yanapishana tu magari ya utalii.
“Tumefungua vyombo vya habari bila masharti, wafanyakazi wa Serikalini walikaa miaka mingapi bia kupandishiwa mshahara, mama ameshasema jambo lenu lipo, hao nao hawamuelewi mama?
“Anaachwaje mtu kichaa mmoja hivi anasema ‘unajua huku hawakuelewi’, nawapa changamoto maofisa habari, unapokuwa afisa habari wewe ni katibu Mwenezi wa Serikali, wajibu wako ni kuwafanya wananchi waielewe Serikali.”
Chanzo: Maelezo
Nape is 👍The guy is good and is a good Samaritan and he wishes Samia well, kazi kwa Samia , Nampe bwege sana fala garasa kabisa
kwa vile maslahi yake yanapatikana anataka kila mtu amwelewe? mimi mwenyewe simuelewi hata kidogo"Tulifungia vyombo vya habari, tumevifungulia bila masharti, je hawamuelewi mama?,
wafanyakazi wa Umma walikaa miaka mingapi bila kupandishiwa mshahara?,mama juzi kasema jambo lenu lipo, halafu anakuja mtu anasema mtaani watu hawamwelewi mama?"
~Nape Nnauye
----
View attachment 2218275
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezungumza kuhusu kauli ya ‘mama hatukuelewi’ ambayo anadai kuna watu wamekuwa wakiitumia wakimaanisha hawamuelewi Rais Samia Suluhu.
Huyu hapa Nape akizungumza katika Ufunguzi wa Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali, Mei 9, 2022 Jijini Tanga katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera:
“Mtu mmoja nimeona amerekodi video anasema ‘Mama huku mtaani watu hawakuelewi’, inawezekana wapo kweli ambao hawamuelewi, lakini nikajiuliza wale waliofukuzwa kwa vyeti feki wamerudishwa kazini.
“Watoto waliofukuzwa kwa ujauzito na walioacha shule kwa sababu mbalimbali wameruhusiwa kurudi shule.
“Kuna watu wamefunguliwa akaunti za biashara zilifungwa kwa sababu mbalimbali, bado unasema watu hawamuelewi, lakini kwa sababu hajibiwi inaonekana ni kama kweli watu hawamuelewi.
“Nilikuwa Karatu wakati nakagua mradi wa Anwani za makazi, wakaniambia kuna wakati ulikuwa ukitoka Karatu kwenda Arusha hukutani na magari ya watalii, lakini sasa hivi yanapishana tu magari ya utalii.
“Tumefungua vyombo vya habari bila masharti, wafanyakazi wa Serikalini walikaa miaka mingapi bia kupandishiwa mshahara, mama ameshasema jambo lenu lipo, hao nao hawamuelewi mama?
“Anaachwaje mtu kichaa mmoja hivi anasema ‘unajua huku hawakuelewi’, nawapa changamoto maofisa habari, unapokuwa afisa habari wewe ni katibu Mwenezi wa Serikali, wajibu wako ni kuwafanya wananchi waielewe Serikali.”
Chanzo: Maelezo
Ndiyo anataka kila mtu amweleweNape kamba yako ni ndefu we lazima umuelewe mama!
Halafu Magu alishakutosa Mama akakunyanyua tena unategemea utasemaje wakati unalamba asali!
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app