Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Yn anaoneka kbsaaaa....jamaa aliyekuwa anasukuma atakuwa mkoromije huyu, manake kama ana kisasi nae
Halafu wengi wao wana toka makabila yaleeee.....yenye hasira za juu juu visasi visasi...ugomvi ugomvii》》》Askari wengi ni Failure.... Hawana tofauti sana na Bashite aliyekula Faa Zote........
》》》Hivyo hawawezi kutumia akili ambazo ktk hali halisi hawana hizo akili.....
》》》》》
Hii imekaaje kiongozi muandamizi wa serikali kuoneshwa bastola hivyo? Mbona ni kuadhiriana na kudhalilishana?Huyo askari akasome tena afahamu ni mazingira gani bastola inatolewaNi aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.
Haapa alivyotolewa bastola, Msanii Harmorapa naye alikuwepo hapo ila alitimua mbiop baada ya Bastola kuonyeshwa
Mhh, mashaka matupu. Yaani Kitenge aliamua kujilipuaKuna MTU kasema "mnasubiri nini ?" HV ana maana gani
kitenge is an agentMhh, mashaka matupu. Yaani Kitenge aliamua kujilipua
Yuko wapi humu??Mimi kanichekesha huyo harmorapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
soja alijihami mapema alitakiwa atumie hand technics kama vile ushiro ukemi lakini iko poa tu kwasababu lengo ilikua ni kumdhibiti .BY any means ndiyo maana hata yeye niliona anataka kutoa japo hakuwa active yaani kimapigano asinge weza kujibu tayari alikua delayedNi aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.
Haapa alivyotolewa bastola, Msanii Harmorapa naye alikuwepo hapo ila alitimua mbiop baada ya Bastola kuonyeshwa
Soma unielewe kaka, wapo wa TISS ni wajinga huwez kufikiria kama ni wao ingawa ni wachache, walisumbua sana kipindi cha katikati hapo
Agent of whtkitenge is an agent
Acha anyoshwe umesahau alivyomdhalilisha Lowassa akamuombe msamaha.
certainly...maana ugomvi wa bastola wa usalama hauamuliwi na mwandishi wa habari wa michezo.kitenge is an agent
Yaani hii mijitu naichukia kuliko kinyesi. Maana ht chako mwenyewe ukikikanyaga unachechemea. Hii hii ndio mijambazi mikubwa mijizi kila mahali hilo halina ubishi. Mashetani kbs.Kuna MTU kasema "mnasubiri nini ?" HV ana maana gani