Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Huyo askari ni mzembe ile bastola angeweza nyang'anywa kizembe askari kama yule n hasara kwa taifa
 
jamaa aliyekuwa anasukuma atakuwa mkoromije huyu, manake kama ana kisasi nae
Yn anaoneka kbsaaaa....
Sifa zimemjaa km kolomije wenzie...sasa kutoa bastola ndio nini
Pumbav zake...inatumika vibaya sana hii mijitu
 
》》》Askari wengi ni Failure.... Hawana tofauti sana na Bashite aliyekula Faa Zote........


》》》Hivyo hawawezi kutumia akili ambazo ktk hali halisi hawana hizo akili.....

》》》》》
Halafu wengi wao wana toka makabila yaleeee.....yenye hasira za juu juu visasi visasi...ugomvi ugomvii
 
tuliwaambia ccm ni ile ile mkawa mnabishi ona walichomfanyia mwenzao.... next time tuwe makini tunapowachagua hawa viongozii
 
lakini mwishowe amedhibitiwa na mwandishi fulani wa habari aliyekuwa amevaa koti jekundu. shame on him.
 
Ni aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.



Haapa alivyotolewa bastola, Msanii Harmorapa naye alikuwepo hapo ila alitimua mbiop baada ya Bastola kuonyeshwa


Hii imekaaje kiongozi muandamizi wa serikali kuoneshwa bastola hivyo? Mbona ni kuadhiriana na kudhalilishana?Huyo askari akasome tena afahamu ni mazingira gani bastola inatolewa
 
ee76cfe2e6aa97ef8027c12102bbbf3b.jpg

Onyo na hatua kali za kinidhamu na za kisheria zichukuliwe dhidi ya askari aliyemtishia Nape kwa bastola.
 
Ni aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.



Haapa alivyotolewa bastola, Msanii Harmorapa naye alikuwepo hapo ila alitimua mbiop baada ya Bastola kuonyeshwa


soja alijihami mapema alitakiwa atumie hand technics kama vile ushiro ukemi lakini iko poa tu kwasababu lengo ilikua ni kumdhibiti .BY any means ndiyo maana hata yeye niliona anataka kutoa japo hakuwa active yaani kimapigano asinge weza kujibu tayari alikua delayed
 
Acha anyoshwe umesahau alivyomdhalilisha Lowassa akamuombe msamaha.

Lini Mbowe na Lema walimuomba Msamaha Lowassa?
Acheni kumfanya Lowassa kama ni Mungu. Kila kitu mnakumbusha aombwe Msamaha.
Wapuuzi wa kupuuziwa.
 
Kuna MTU kasema "mnasubiri nini ?" HV ana maana gani
Yaani hii mijitu naichukia kuliko kinyesi. Maana ht chako mwenyewe ukikikanyaga unachechemea. Hii hii ndio mijambazi mikubwa mijizi kila mahali hilo halina ubishi. Mashetani kbs.
 
Back
Top Bottom