saede mbondela
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 368
- 237
Let us seeHa ha ha
ni muendelezo wa kauli za kibabe tu.
Kingine ni kusisitiza makondo piga kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let us seeHa ha ha
ni muendelezo wa kauli za kibabe tu.
Kingine ni kusisitiza makondo piga kazi
Yeye mwenyewe aliwahi kusema hana maneno matamuLet us see
Mkuu TUJITEGEMEE: Naona Una mahaba ya dhati na Serikali kiasi unashindwa kuona tukio lilio wazi,Nimeitaza iyo clip mara ishirini na saba....ndiyo nikatoa maelezo hayo hapo juu. ebu angalia vizuri hiyo clip mwanzoni mwana usalama anaamfuata Nape mpaka hatua ya askari kuamua kujihami.
Ule ndio uanamume aiseeMwana habari wa mchezo maulid kitenge....kitendo ulichokifanya cha kumfukuza na kumtoa nduki yule Jamaa aliyemtolea bastola mh nape! NI cha kishujaa kwani Jamaa alishaingia kingi ulishamtuliza..
Sijui kama wakina pasco wangekuwepo kwenye tukio hilo kama wangefanya action kama yako.
Salute sana maulid kitenge....
OVA
Pasco mayalla angekuwa yeye sjui angefanyajeUle ndio uanamume aisee
Huu ni muda wa kuwa wamoja.tukigawanyika tunampa adui yetu nguvu.Mzee wa goli la mkono limemrudi!!!.....Malipo ni hapahapa!!!
Wa mwangosi wapi....Usishangae utakaposikia huyo polisi amepandishwa cheo.
Analopwa na nani?Mzee wa goli la mkono limemrudi!!!.....Malipo ni hapahapa!!!
Oh, well, that's just like, your opinion, man...Kilichotokea kwa Nape leo na nilichokiina kwenye surveillance footage ya Clouds ni mambo mawili tofauti kabisa.
Sasa hayo mambo ya mimi kuhukumu hivi au vile sijui wewe umeyatoa wapi.
Kusoma na kuelewa ni janga kuliko tunavodhani.
Acha uzushimaulidi ni usalama pia na ninmkubwa