Anakaribia kupewa kitengo! Kile kikao cha juzi cha kumsifia brigedia Nauye kilikuwa kikao cha kumpaka rangi kijana wake wa bao la Mkono na kuwaandaa kisaikolojia tu😅Nafuu polepole..Nape Ni wa hovyo Sana..Jikumbusheni nape wa bao la mkono..
Nimesikitika, angenyamaza ingekuwa bora zaidi. Mheshimiwa nape anaonekana ni mtu wa bifu sana asiyependa kunyamaza. Matokeo ya anachokifanya hapa ni kuibuka kwa mivutano zaidi......labda ndicho anachokitaka. Ccm ni ya wote, nani kasema ina wenyewe?!! Disgusting!Kumbe nayeye alikua makini akisubiri press ya Polepole...😇
Hii inaonyesha ni kiasigani wana CCM walikua wakisuburi kwa ham kusikia Polepole akitangaza kung'atuka ehhhh...😜
Ebu nitoshe kumkumbusha Nape atunze akiba ya maneno, asije akaponzwa masikio kuzidi kichwa..
NakaziaNape Nape Nape.....huu ni utoto..
Muache ateme nyongo unadhani kushikiwa bastola siku amezuiwa kufanya press alijisikiaje?Kumbe nayeye alikua makini akisubiri press ya Polepole...😇
Hii inaonyesha ni kiasigani wana CCM walikua wakisuburi kwa ham kusikia Polepole akitangaza kung'atuka ehhhh...😜
Ebu nitoshe kumkumbusha Nape atunze akiba ya maneno, asije akaponzwa masikio kuzidi kichwa..
Wanatifuana Wao Kwa WaoHaya sasa hapa tunasubiri mtanange
MzilankendeKabla ya yote naomba nielekezwe Godfather ndio nani kwanza😅 maana kiroboto najua ni Juma Kassim Nature!
Some people think they own this country!Kwa nini Nape anasema kina wenyewe
Hii kauli ni mzito sana.
Mbowe atolewe tuanza kampeni mapema
Umeme na maji ni shida kuna wenyewe watu wanaofanya figusi kuwa nyanyasa wananchi
Rais Awamu ya 6 kuongoza Nchi hii itampa shida
Kivip mkuu, fafanua..Samia hataweza kuiingoza hii nchi
Na makonda awepo😂Hawa wawekwe pamoja kiumane
Tutapata katiba mpya ndani ya miaka kumi, inayowajibisha viongozi wote, waliopo na waliopita. Kinga tutaziondoa, mashitaka tutaenda nyuma hadi miaka 30
Chuki ipo kama kipind kile cha teka, tesa, ua, funga, weka ndan??Ila CCM hawajua kinachoendelea mtaani sio? Wafanye tafiti kuna chuki sana inajengeka...watakuja washangae akitokea mwanasiasa ana nguvu...watashangaa sana watu kama kina Nnape. Just someone to ignite
Ni Nape yule aliyekuwa anatembea saa nane mchana kweupe akitoka jasho?Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
So wewe ni mmoja wapo unaeshangilia mgao wa umeme?Chuki ipo kama kipind kile cha teka, tesa, ua, funga, weka ndan??