Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Huyu unayemwita mwendazake ndo aliirejesha ccm kwa wanachi wakaanza kuipenda .ili ccm ya kuvaa nguo yake ukaanza kuzomewa ilipotea .

Sent using Jamii Forums mobile app
How come kwenye hicho kipindi chake ndiyo kumeshamiri vitendo vya watu kutekwa na kupotezwa?
Yani wananchi walizidi kuipenda CCM baada miili kadhaa kuooplewa kwenye viroba baharini,??
 
Acha uzandiki, wapi ameleta kinyongo?
Hichi anachokifanya leo alikua anawashambulia sana wengine wakifanya enzi za marehemy pombe.

Nini kimemsibu huyu chakubanga mpaka leo analia-lia kuwa ananyanyaswa na sheria za tcra hili-hali enzi za mzee pombe walikua wanazitumia sheria hizi kuwanyamazisha waliokuwa wanamkosoa mzee pombe??
 
aliyekimaliza chama ni kikwete,enz zake chama kilinuka ufisadi na uchafu wa kila namna,Hadi ss wengine tulipata shida mtaani,yaani ukipita umevaa shati lolote la kijani aise raia wanatamani wakugawane onspot,watu walichukizwa na ufisadi wa serikali ya 4 kupindukia,akinamama zike kanga zao za kijani na njano waliogopa kuvaa kwa aibu ya ufisadi wa serikali ya awamu ya 4,chama kilioza na kuzaraulika kupindukia, kila mwana ccm enz hizo aliitwa ni fisadi hata Kama ni msafi,

Sasa huyo huyo FISADI ndio mshauri mkuu wa Samia, hivi sasa yuko mbioni kusuka fitina zake Mzee Mangulla aondolewe kwani anamuona ndio kigogo aliyebaki ambaye hamuogopi!!
 
aliyekimaliza chama ni kikwete,enz zake chama kilinuka ufisadi na uchafu wa kila namna,Hadi ss wengine tulipata shida mtaani,yaani ukipita umevaa shati lolote la kijani aise raia wanatamani wakugawane onspot,watu walichukizwa na ufisadi wa serikali ya 4 kupindukia,akinamama zike kanga zao za kijani na njano waliogopa kuvaa kwa aibu ya ufisadi wa serikali ya awamu ya 4,chama kilioza na kuzaraulika kupindukia, kila mwana ccm enz hizo aliitwa ni fisadi hata Kama ni msafi,
Kile wala hakikuwa chama cha siasa, lilikuwa genge fulani tu mumiani
 
Hichi anachokifanya leo alikua anawashambulia sana wengine wakifanya enzi za marehemy pombe.

Nini kimemsibu huyu chakubanga mpaka leo analia-lia kuwa ananyanyaswa na sheria za tcra hili-hali enzi za mzee pombe walikua wanazitumia sheria hizi kuwanyamazisha waliokuwa wanamkosoa mzee pombe??
Kama sheria ni mbaya ni mbaya tu, iwe ni utawala wa JPM. Samia au Mbowe! Huwezi ukafuahia kutenda kosa kwa sababu fulani ametenda kosa hilo na hakuchukuliwa hatua!
 
Kucheka/kulia, huw ni matendo ya kupokezana. Leo zamu ya pole polee imefika atulie tuuu.
 
CCM under humphrey & bashiru wapinzani hawakuruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara na maandamano tofauti na awamu ya nne, katika kipindi chao wagombea wengi wa chama chao waliokuwa wa mrengo tofauti walioshinda kura za wajumbe walienguliwa pia wagombea wengi zaidi wa upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu walienguliwa kwa kiwango kikubwa kuwahi kutokea.
watu wengne wamekalia maubishi tu..

Ila honestly, ccm under humphrey & bashiru ilikuwa na mvuto zaidi ukilinganisha ccm ya hapo katikati....
 
Kikwete hakuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, pia hakuzuia vyombo vya habari na wasanii kuimulika serikali yake.
aliyekimaliza chama ni kikwete,enz zake chama kilinuka ufisadi na uchafu wa kila namna,Hadi ss wengine tulipata shida mtaani,yaani ukipita umevaa shati lolote la kijani aise raia wanatamani wakugawane onspot,watu walichukizwa na ufisadi wa serikali ya 4 kupindukia,akinamama zike kanga zao za kijani na njano waliogopa kuvaa kwa aibu ya ufisadi wa serikali ya awamu ya 4,chama kilioza na kuzaraulika kupindukia, kila mwana ccm enz hizo aliitwa ni fisadi hata Kama ni msafi,
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii...
Hili jibu tu linaonyesha huyu Nape alivyo mpumbavu kweli kweli; yaani kichwani mwake hamna kitu kabisa.
 
Kumbe nayeye alikua makini akisubiri press ya Polepole...[emoji56]
Hii inaonyesha ni kiasigani wana CCM walikua wakisuburi kwa ham kusikia Polepole akitangaza kung'atuka ehhhh...[emoji12]
Ebu nitoshe kumkumbusha Nape atunze akiba ya maneno, asije akaponzwa masikio kuzidi kichwa..
Hapana waache waonjeshane joto... Pole pole nae alishupaza Sana shingo wakati ni mwenezi alijiona ni an touchable na nchi ni Yao... Sasa zamzam wacha watoane dam
 
Hivi KIROBOTO Kwa jinsi alivyonajisi DEMOKRASIA ya hii nchi na mwendazake huwa anafundishaga ninj maana siwezi kumsikiliza yeye KABUDI NA KITILA walichokuwa wanafundisha wakati wa KIKWETE WALIPOPEWA DHAMANA WAKATUKA SANA TAALUMA ZAO
 
Naomba ile picha ya nape akiomba msamaha kwa nduli
1639281218429.png
 
Back
Top Bottom