Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
Kwani ccm ni baba na mama yake? Mzee Nnauye alishatangulia hivyo hana haja ya kuogopa kufukuzwa kwenye boma. Sema itabidi achunge account yake atumie vizuri akiba yake ili imsaidie mpaka hapo atakapoweza kupata kazi nyingine mitaani.
 
Yaani aache kuongea kwa ajili ya kumuogopa huyo mbwiga?!
 
Akafanya press-conference mchana wa leo kama ambavyo tumeona tweet yake mitandaoni.....atafukuzwa uanachama
 
Acha nidhamu za uoga.....
 
Nape ni mmoja wa mzizi mkuu wa mtawala yule, alihakikisha mtawala anaota wakiwa na makamba+mwigulu. Hivyo awe makini kuukata mzizi huu
Ukiisha kaa mbele ya kichwa cha treni ww ndio mkulu.....achana na hadithi za mtaani zilipendwa....ooh huyu alipigania chama ....that is a dam sheet.....kwani nani asiyejua Pena.....alikuwa teem Membe
 
Na akishafukuzwa uanachama pia ataambiwa anadaiwa kodi mamilioni kadhaa hivi, so ni mwendo wa vikwazo vya kisiasa na kiuchumi.
 
Nape ndio amepunguza hali ya kuchafuliwa serikali kwa kashifa mbaya ya uvamizi wa Clouds. Kama serikali yote ingekaa kimya nchi ingechafuka zaidi kimataifa. Sasa hao wakubwa walitakiwa wapokee taarifa ya kamati ya uchunguzi na kuiweka kimya kabatini kama walitaka kumlinda mtu au taasisi fulani. Hapa wakubwa wamekosea
Nape sio insubordinate person kwa hili bali ni msaada kwa taswira ya serikali kuhusu uhuru wa habari kimataifa.
 
Mtoe mzee wangu Warioba kipodo alichopewa na albert kinamtosha. Katu hawezi mkalibia hata kwa mita mia. Bashite balaa nadhani huwa wanapokezana kwenda Milembe na mataputapu.
 
Hawawezi kumfukuza uanacha , Nape anajua siri nyingi za chama hawawezi kufanya hilo kosa.
 


khaaaaa...ivi nyie mnamfahamu Nape au mnamsikia

Jamaa ana msimamo yule

Halafu mnamwambia anyamaze...why? anyamaze ili iweje? kwa kuogopa nini? acheni kuwa cowards vijana

Simamieni mnayoyaamini...Nyerere angekuwa Coward kama nyie leo Tanzania ingekuwa hapa??
 
Mwenzenu hata sielewi makonda ni nani hasa nch hii
 
Kwani uwaziri alizaliwa nao au ni haki yake ,mwache aongee ujinga wake,waswahili husema hasira hasara mwache ajitie kitanzi mwenyewe,wanagapi wameondolewa uwaziri na wakaishi,huyu dogo aache ujinga hamuwezi Magufuli hata kwa tone asijidanganye na hao marafiki wapya,kuna maisha hata baada ya kutumbuliwa.
 
Usiogope mkuu labda anakwenda kumshukuru Rais kwa uamuzi wa kumpumzisha na kwamba atakuwa tayari kutumika pindi atakapohitajika tena.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…