Kwahiyo imani za dini zenye kukataza kumsema marehemu zinakosea kwa kufanya hivyo?Yeye Magufuli alipokuwa hai mbona hakuwaacha wenzie wapumzike kwa amani?
Yuko wapi Ben Saanane? Azori Gwanda, Lissu Lema na wengineo tusiojua majina yao.
Acha watu waseme ya moyoni, kama alifanya mazuri atasemwa kwa mazuri na kama alifanya maovu atasemwa kwa maovu yake, kila mtu ana hadithi yake.
Madhara ya kumsema JPM mtayaona 2025Kwahiyo imani za dini zenye kukataza kumsema marehemu zinakosea kwa kufanya hivyo?
Mungu ni wa ajabu sana, maana Mungu huyo huyo amewachukulia kipenzi chao wazanzibari Maalim seif.Ni kweli alichosema Nape, Mungu amelata amani
Na kifo chake sio kimeleta amani kwa CCM tu, bali kwa vyama vingine na kwa nchi kiujumla, vyama vya upinzani walikuwa wakiwindwa kama swala,
hata ugomvi wetu na nchi jirani umeisha na sasa Tz inafanya biashara na majirani zetu vizuri
Na sio nchi jirani tu, hata jamii kubwa ya kimataifa ilikuwa na ugomvi na Tanzania ila baada ya Mungu kufanya yake, sasa hivi Tanzania ni rafiki wa kila nchi, za Mashariki na Magharibi
Ama kweli Mungu ameleta amani, MUNGU NI FUNDI
Mungu Huyo Huyo amkumbuke na DelilaMungu ni wa ajabu sana, maana Mungu huyo huyo amewachukulia kipenzi chao wazanzibari Maalim seif.
Sijui alikuwa na makusudio gani?
Na inaendelea kuwa Haina makosa kwa yeyote iwe kwa Nape au yeyoteKazi ya Mungu haina makosa.
Mbona kama wewe ndio umetoa tafsiri hiyo!Habarini JF GT!
Jana wakati Membe akirudishiwa kadi ya CCM, Mbunge wa Mtama na Wazari wa Habari nchini aliongea kauli mbaya Sana Na Yenye kufedhehesha kwa Marehemu.
Kwa tamaduni za kitanzia Sio sawa kumsema Marehemu, na hata Ukitaka kumsema Marehemu utamsema kwa Mazuri. Lakini hii imekuwa Tofauti kabisa kwa baadhi ya Wanachama wa CCM na Viongozi wa CCM, wamekuwa Wakimsema Hayati Magufuli Hadharani mbele ya wananchi waliomchagua kwa kura nyingi. Hakika CCM inajiua Yenyewe
Jana Ndugu Nape (Namuita Ndugu kwasababu kwangu mimi sioni kama Anafaa kupewa heshima ya Jina Mheshimiwa) wakati wa Sherehe zile alisimlia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na Yeye alivyo nusurika kufukuzwa CCM na Membe kumsadia, kipindi hicho naamini Magufuli hakuwa Kiongozi mkubwa wa CCM, Nape aliongea kumaanisha kuwa Magufuli alikuwa chanzo kikubwa cha Membe kuondoka CCM na Kutengeneza ugomvi mkubwa na Wana CCM wengine.
Nape akaenda mbali zaidi na Kusema Kuwa Ugomvi huo Mungu ndio ameamua na sasa bahari imetulia iko shwari, akimaanisha Kifo cha Magufuli ni Maamuzi ya Mungu katika Kutatua ugomvi wa Wana CCM na Membe… Akaendelea mbele na Kusema nani Kama Rais Samia Suluhu.
Ikumbukwe kuwa Huu utamaduni uliopo sasa kwa kumsifia rais hata pale anapo fanya Baya ulianza kipindi Cha Magufuli na Umeendelea hadi awamu hii kwa kusema Mama anaupiga mwingi. Nyakati za Kikwete, Mkapa hakukuwa na huu ujinga.
Turudi kwenye mada, Nape Nauye ni lini Ataacha kuwa na Kinyongo na Marehemu? Nilini ataacha Kumsema Marehemu? Huu umekuwa muendelezo wake toka Awe Waziri tena Wa Habari, Je aliteuliwa kuja Kumsema Marehemu?
Ni wakati sasa Wa Nape kumuacha Marehemu Apumzike Mahali pema na kwa amani. Asitafute chuki na watu zisizo za msingi
Yanapitaje kwa mfano!John alikua na mapungufu yake lakini mimi niungane mleta mada yaliyopita yamepita kwanini tusihoji tuliyonayo sasa?
Na kuropoka kwenyewe ndiyo huko!, kwani JPM ndiye alimzuia Membe au joka la mdimu asipate nafasi yakugombea urais?MUNGU yupi huyo anayemtaje? labda mwenye herufi ndogo m!!! mungu aliamua ugomvi au watu fulani waliamua ungomvi!! bora kunyamaza .damu ya mtu haimwachi mtu salama iko siku mtaanza kuropoka.time will tell.
Yawezekana ni Mungu wao wawili tu.Mtu mwenye akili hawezi kuongea upupu Kama huo.Kwani mwenyezi Mungu ni wa Nape na Membe tu?Hiyo ni akili ya chooni.Watu Kama hawa huwa wanaumbuliwa ili akili za chooni ziwakae vizuri.Kama kweli Mungu ni wa Nape na Membe,tusibiri tutaona.Tutakuja kuandika Tena hapa hapa.
Haaaaa haaaaaKuna watu walistahili kufa hata mara mbili au tatu
Maalim Seifu mwendo aliumaliza. Nafikiri alikuwa na miaka 80+Mungu ni wa ajabu sana, maana Mungu huyo huyo amewachukulia kipenzi chao wazanzibari Maalim seif.
Sijui alikuwa na makusudio gani?
Watu walilia hadi wakazimiaKwani uongo. Referee Mungu alimaliza Moira kabla watu wengi hawajaumia uwanjani
Kwahiyo anawasikia huko aliko. Au mnaongea na upepoAlikataza watu kumsema akiwa hai acha watu wamseme akiwa mfu.
This is very stupid and dangerous!Ila kina Nape haya maneno ya shombo yatawacost ikitokea Rais Ajaye akawa na akili atawapiga chini wote
Ningekuwa Rais uchaguzi ujao Kuna majimbo Bora niwape wapinzani tu, Nape ni mropokaji
Huo ndio uhuru wa kutoa maoni tunaoutakaHabarini JF GT!
Jana wakati Membe akirudishiwa kadi ya CCM, Mbunge wa Mtama na Wazari wa Habari nchini aliongea kauli mbaya Sana Na Yenye kufedhehesha kwa Marehemu.
Kwa tamaduni za kitanzia Sio sawa kumsema Marehemu, na hata Ukitaka kumsema Marehemu utamsema kwa Mazuri. Lakini hii imekuwa Tofauti kabisa kwa baadhi ya Wanachama wa CCM na Viongozi wa CCM, wamekuwa Wakimsema Hayati Magufuli Hadharani mbele ya wananchi waliomchagua kwa kura nyingi. Hakika CCM inajiua Yenyewe
Jana Ndugu Nape (Namuita Ndugu kwasababu kwangu mimi sioni kama Anafaa kupewa heshima ya Jina Mheshimiwa) wakati wa Sherehe zile alisimlia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na Yeye alivyo nusurika kufukuzwa CCM na Membe kumsadia, kipindi hicho naamini Magufuli hakuwa Kiongozi mkubwa wa CCM, Nape aliongea kumaanisha kuwa Magufuli alikuwa chanzo kikubwa cha Membe kuondoka CCM na Kutengeneza ugomvi mkubwa na Wana CCM wengine.
Nape akaenda mbali zaidi na Kusema Kuwa Ugomvi huo Mungu ndio ameamua na sasa bahari imetulia iko shwari, akimaanisha Kifo cha Magufuli ni Maamuzi ya Mungu katika Kutatua ugomvi wa Wana CCM na Membe… Akaendelea mbele na Kusema nani Kama Rais Samia Suluhu.
Ikumbukwe kuwa Huu utamaduni uliopo sasa kwa kumsifia rais hata pale anapo fanya Baya ulianza kipindi Cha Magufuli na Umeendelea hadi awamu hii kwa kusema Mama anaupiga mwingi. Nyakati za Kikwete, Mkapa hakukuwa na huu ujinga.
Turudi kwenye mada, Nape Nauye ni lini Ataacha kuwa na Kinyongo na Marehemu? Nilini ataacha Kumsema Marehemu? Huu umekuwa muendelezo wake toka Awe Waziri tena Wa Habari, Je aliteuliwa kuja Kumsema Marehemu?
Ni wakati sasa Wa Nape kumuacha Marehemu Apumzike Mahali pema na kwa amani. Asitafute chuki na watu zisizo za msingi
ni kweli lakini tunatumia muda mrefu mno kwenye visasi na muda hautusubiri na kushughulikia mihemko yetu na wakati mwingine bila kujali tunalo jukumu la leo la kuwavusha wengine.Lazima tuwaze JANA ili kuifanya LEO na KESHO yetu kuwa BORA ZAIDI. Ikiwa hujui utokako (JANA) utafahamu vipi ulipo (LEO) na uendako (KESHO).Ikiwa hujui wapi tatizo lilipoanzia huwezi kupata utatuzi juu yake. Hatma bora huja kwa kurekebisha jana yetu.
Hivyo basi, mema husafiri POLEPOLE lakini hudumu vizazi, mabaya husafiri kwa KASI zaidi hufutika mapema moyoni.
Tujitathimi jinsi tunavyoishi na wengine,duniani sote tuko njiani.
MIAKA 80 IJAYO WATAKAOKUWA HAI HUMU JUKWAANI NI WACHACHE MNO,AU WASIWEPO KABISA.
Swali zuriNa kuropoka kwenyewe ndiyo huko!, kwani JPM ndiye alimzuia Membe au joka la mdimu asipate nafasi yakugombea urais?
Good asemwe kwa moavu yakeAcheni ujinga. Nyie mbona kila kukicha mnamsema vibaya Idd Amin au Hitler? Ukizuia watu wasikuseme ukiwa hai watakusema ukiwa mfu.
Kupanga ni kuchagua
Tuambie wewe sasa?Wako wapi sasa? Miezi 16 sasa, ni kweli kilichowakimbiza ni Magu?