Nape Nnauye: Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi

Kwahiyo imani za dini zenye kukataza kumsema marehemu zinakosea kwa kufanya hivyo?
 
Mungu ni wa ajabu sana, maana Mungu huyo huyo amewachukulia kipenzi chao wazanzibari Maalim seif.
Sijui alikuwa na makusudio gani?
 
Nape anaongea sio kesi.Mungu yupo na hajafa bado ataendelea kuamua kesi Nape na wote wanaomkebehi marehemu Magufuli kwani wao wataishi milele? hata wao Mungu aweza amua kesi anytime. mahakama kuna ya mwanzo,mahahakama kuu na rufaa Nape na wakebehi Magufuli sijui wanaongelea mahakama ipi?
Anyway Mungu hakimu na Jaji tunakuachia wewe ujuaye nani muovu na nani siyo uendelee kutoa hukumu ya haki iwe kwa Nape au kwa yeyote ni haki yako kutoa hukumu

Na tutaipokea kwa mikono miwili
 
Mbona kama wewe ndio umetoa tafsiri hiyo!
 
MUNGU yupi huyo anayemtaje? labda mwenye herufi ndogo m!!! mungu aliamua ugomvi au watu fulani waliamua ungomvi!! bora kunyamaza .damu ya mtu haimwachi mtu salama iko siku mtaanza kuropoka.time will tell.
Na kuropoka kwenyewe ndiyo huko!, kwani JPM ndiye alimzuia Membe au joka la mdimu asipate nafasi yakugombea urais?
 
Yawezekana ni Mungu wao wawili tu.
 
Ila kina Nape haya maneno ya shombo yatawacost ikitokea Rais Ajaye akawa na akili atawapiga chini wote

Ningekuwa Rais uchaguzi ujao Kuna majimbo Bora niwape wapinzani tu, Nape ni mropokaji
This is very stupid and dangerous!
Kwenye uchaguzi mkuu sio kazi ya rais kugawa majimbo kwa chama tawala au upinzani! Huu ni upumbuvu!
Uchaguzi unapaswa kuwa huru na wa haki, sio wa rais kugaia chama chochote majimbo yoyote.
 
Huo ndio uhuru wa kutoa maoni tunaoutaka
 
ni kwel
ni kweli lakini tunatumia muda mrefu mno kwenye visasi na muda hautusubiri na kushughulikia mihemko yetu na wakati mwingine bila kujali tunalo jukumu la leo la kuwavusha wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…