Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Mbunge wa Mtama mkoani Lindi mh. Nape Nnauye amewataka wanasiasa na wananchi kuwaheshimu viongozi kwani urais hutoka kwa Mungu.
Nape ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba yeye aliomba ubunge na Mungu amempa.
Maendeleo hayana vyama!
!
!
Na Wa Sisiemu Hapo Kwenye Mungu Anamanisha Magufuli