Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utamaduni wa CCM Rais Samia atadumu madarakani hadi 2030.Kwa kupitia uchaguzi au kwa mapendekezo yake tu haya?
Pumbavu zake huyo dogo
kutawala mileleUkweli ni kwamba nchi yetu ilitulia sana, tukawa busy na kujitafutia maendeleo na tukichoka akili msanii anapita hapo kati na kiki tunapunguza uchovu na maisha yanasonga....
Tatizo lako hata katiba unaisikia kwenye uhuru na mzalendo na tiibiisiii maana ndiyo vyanzo vyao vya habariKwa utamaduni wa CCM Rais Samia atadumu madarakani hadi 2030.
Huo ndio utaratibu Nape anakumbushia tu maana asije akaibuka Membe mwingine akaleta figisu zake 2025!
Kadi yako ya CCM utaichukulia hapo hapo kijijini kwenu Nanguruwe bwashee.Tatizo lako hata katiba unaisikia kwenye uhuru na mzalendo na tiibiisiii maana ndiyo vyanzo vyao vya habari