Nape Nnauye: Rais Samia Suluhu aendelee mpaka 2030

Nape Nnauye: Rais Samia Suluhu aendelee mpaka 2030

Haya mambo yanatufanyaga Mataga tuonekane hatuna akili
 
Kwa utamaduni wa CCM Rais Samia atadumu madarakani hadi 2030.

Huo ndio utaratibu Nape anakumbushia tu maana asije akaibuka Membe mwingine akaleta figisu zake 2025!
MBONA MEMBE HAKUTAKA KUMUACHIA MAGUFULI AMALIZE MIAKA YAKE 10 UTAMADUNI HUO UMEANZA JANA?

NI NGUMU SANA KUWAELEWA HAWA WANAFIKI TENA MARA NYINGI WANASHIRIKI KUVURUGA MAMBO KWA INTEREST ZAO.
 
 
MBONA MEMBE HAKUTAKA KUMUACHIA MAGUFULI AMALIZE MIAKA YAKE 10 UTAMADUNI HUO UMEANZA JANA?

NI NGUMU SANA KUWAELEWA HAWA WANAFIKI TENA MARA NYINGI WANASHIRIKI KUVURUGA MAMBO KWA INTEREST ZAO.
Ndio maana alifukuzwa akakimbilia ACT wazalendo!
 
Yuda aliewachoma wenzake na kufukuzwa chama chini ya utawala wa JPM ilimradi atetee kitumbua chake.

Huyu jamaa si wakuaminika hata kidogo. Alipinga taratibu za uwekezaji pale jengo la vijana alipopatiwa apartment akatulia.

Nape hawezi kuupenda utawala uliopita baada ya kulazimishwa kurejesha Toyota V8, Cruiser mkonga na fusso mali za chama alizojimilikisha kihuni yeye na genge lake.

Ndugu zangu chini ya huo utawala aliousema wa mabavu huyu ndie alietoka na tamko kinywani kwake kupiga marufuku bunge live. Hapa alipenda cheo kuliko hatma ya kesho.

Mama Samia muangalie kwa jicho la umakini huyu mnyakyusa wa Busekelo. Ni sigara kali inayowashwa mbele na nyuma.

Hawa ni vijana hatari waliowahi kuamini wa katika nyadhifa mbali mbali za chama na serikalini lakini wasioridhika na walichopatiwa.
Kweli Mkuu.
 
Kwa kuwa hii nchi inatawaliwa ki ccm ccm basi mama anayo nafasi ya kuendelea adi 2035. Kwa sasa mama haja anza awamu yake ispokuwa ana kamilisha muhula wa pili wa awamu ya 5.

Kama 2025 ccm mtampitisha kupeperusha bendera yenu hapo ndio atakuwa ana gombea kwa muhula wake wa kwanza kama ilivyo tokea Burundi, huko ndiko tunako elekea na huo ndio ukweli wenyewe. Kuliacha baraza la mawaziri la hayati JPM na kauli ya kumalizia muhula wa pili ya awamu ya tano sio vitu vya bahati mbaya. Lakini muda utajieleza zaidi.
 
Yuda aliewachoma wenzake na kufukuzwa chama chini ya utawala wa JPM ilimradi atetee kitumbua chake.

Huyu jamaa si wakuaminika hata kidogo. Alipinga taratibu za uwekezaji pale jengo la vijana alipopatiwa apartment akatulia.

Nape hawezi kuupenda utawala uliopita baada ya kulazimishwa kurejesha Toyota V8, Cruiser mkonga na fusso mali za chama alizojimilikisha kihuni yeye na genge lake.

Ndugu zangu chini ya huo utawala aliousema wa mabavu huyu ndie alietoka na tamko kinywani kwake kupiga marufuku bunge live. Hapa alipenda cheo kuliko hatma ya kesho.

Mama Samia muangalie kwa jicho la umakini huyu mnyakyusa wa Busekelo. Ni sigara kali inayowashwa mbele na nyuma.

Hawa ni vijana hatari waliowahi kuamini wa katika nyadhifa mbali mbali za chama na serikalini lakini wasioridhika na walichopatiwa.
Daah ila umepiga nyundo nzito sana mkuu 🤣🤣
 
Sijaona aliponukuliwa akisema kama title ya thread inavyosema
 
Yuda aliewachoma wenzake na kufukuzwa chama chini ya utawala wa JPM ilimradi atetee kitumbua chake.

Huyu jamaa si wakuaminika hata kidogo. Alipinga taratibu za uwekezaji pale jengo la vijana alipopatiwa apartment akatulia.

Nape hawezi kuupenda utawala uliopita baada ya kulazimishwa kurejesha Toyota V8, Cruiser mkonga na fusso mali za chama alizojimilikisha kihuni yeye na genge lake.

Ndugu zangu chini ya huo utawala aliousema wa mabavu huyu ndie alietoka na tamko kinywani kwake kupiga marufuku bunge live. Hapa alipenda cheo kuliko hatma ya kesho.

Mama Samia muangalie kwa jicho la umakini huyu mnyakyusa wa Busekelo. Ni sigara kali inayowashwa mbele na nyuma.

Hawa ni vijana hatari waliowahi kuamini wa katika nyadhifa mbali mbali za chama na serikalini lakini wasioridhika na walichopatiwa.
Tatizo la Nnape ni kuwa alidhania kwa sababu baba yake alikuwa kada na alimsaidia kupata nafasi nyeti za CCM na yeye atamrithi kila kitu. Alipopewa uwaziri aliulewa, akajisahau kuwa kuna rais mpya.

Rais alipomtumbua, akaanza genge la kihuni la matusi. Walipogunduliwa wakajikuta sasa ni "irrelevant" kwenye hiyo serkali na kuwekwa kando. Punde wakaanza kumtukana rais JPM.

Hivi Nnauye hajui kumtukana marehemu JPM kulikuwa ni kuitukana serkali yake yote akiwamo mama Samia Suluhu. Kama alimtukana Samia Suluhu kupitia JPM, kwa nini sasa anajipendekeza kwake? Mnafiki mkubwa huyo.
 
Ndugu zangu watanzania.
Wazungu wanasema 'Time will Tell' sikubaliani wala sipingi swala la Kiongozi (Rais) yoyote kubaki madarakani kinyume na katiba ya JMT tuliyonayo kwa sasa.

Nadhani tuache muda uongee, kama tutaamua kubadili katiba na kumuacha kiongozi nabaki madarakani kwa zaidi ya miaka kumi, Hii inategemea na nini ametufanyia watanzania na siyo sisi watanzania tumemfanyia nini.

Lakini pia kama tutaamua kubadili katiba itabidi tuzingatie mambo yafuatayo:-

1
. Je, huyo kiongozi ambayo tunataka aendelee kuwa raia namba moja wa nchi yetu(Rais) ameridhia?. Tusije tukamwongezea kwa kulazimisha without his/her willing na baada ya muda akaharibu tukaanza kulaumu kuwa kaharibu.

2. Ninaamini kuwa huwa kuna chombo mahusisi ambacho huwa kinamfatilia rais kuanzia kabla ya kuchaguliwa kuwa rais 'process anaitwa Vetting' kumtambua vizuri nakadharika, nafikiri chombo hicho kinacho Fanya hiyo kazi basi kinatakiwa kuwa makini na kuhakikisha kinatuwekea mtu makini na nwenye uwezo wa kuliongoza taifa akiwa kama head of state.

Na mengine kadhaa wa kadhaa.

Yangu ni hayo tu
Langu jina naitwa Machepele Tanzania
 
Yuda aliewachoma wenzake na kufukuzwa chama chini ya utawala wa JPM ilimradi atetee kitumbua chake.

Huyu jamaa si wakuaminika hata kidogo. Alipinga taratibu za uwekezaji pale jengo la vijana alipopatiwa apartment akatulia.

Nape hawezi kuupenda utawala uliopita baada ya kulazimishwa kurejesha Toyota V8, Cruiser mkonga na fusso mali za chama alizojimilikisha kihuni yeye na genge lake.

Ndugu zangu chini ya huo utawala aliousema wa mabavu huyu ndie alietoka na tamko kinywani kwake kupiga marufuku bunge live. Hapa alipenda cheo kuliko hatma ya kesho.

Mama Samia muangalie kwa jicho la umakini huyu mnyakyusa wa Busekelo. Ni sigara kali inayowashwa mbele na nyuma.

Hawa ni vijana hatari waliowahi kuamini wa katika nyadhifa mbali mbali za chama na serikalini lakini wasioridhika na walichopatiwa.
Nape Ni mnyakyusa[emoji15][emoji849]
 
Back
Top Bottom