Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hii Hoja ikienda Bungeni inaweza ikakutana na upinzani mkubwa kuliko tunavodhania.
Hilo bunge ambalo wabunge zaidi ya 70% wameingia kwa maagizo ya Magufuli ndio hiyo hoja iwe na upinzani mkubwa?! Ingekuwa waliingia kwa kura halali za wananchi hapo sawa.