Nape: Sheria ya Habari inalenga kufungia mtu na sio chombo cha habari

Nape: Sheria ya Habari inalenga kufungia mtu na sio chombo cha habari

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
"Sheria hii ya mwaka 2016 ambayo mimi niliisimamia nikiwa waziri, imelenga kuifanya tasnia ya habari kuwa taaluma, ukikosea tukuchukulie hatua wewe, na ndio maana tumesema tutoe leseni, najua kuna maneno mengi lakini tukifika hapo pakutoa leseni maana yake tuna uwezo wa kuichukua leseni yetu kwa huyu mtu mmoja ambaye amehusika kutengeneza stori ambayo ina matatizo, lakini chombo kikabaki salama, ni kama ilivyo hospitali, daktari akikosea, hatufungi hospitali, tunamshughulikia daktari hospitali inaendelea kufanya kazi, kimsingi hatuna mpango wakufungia chombo chochote cha habari lakini tuna mpango wa kushughulika na wale ambao wanatupeleka kwenye kutengeneza stori mbaya". Waziri Nape Nnauye
 
Safi sana mhe waziri. Huu ndiyo uongozi Sasa. Siyo kama zile enzi za yule shetani mpenda shari.

Keep on going mhe tuko nyuma yako!
 
"Sheria hii ya mwaka 2016 ambayo mimi niliisimamia nikiwa waziri, imelenga kuifanya tasnia ya habari kuwa taaluma, ukikosea tukuchukulie hatua wewe, na ndio maana tumesema tutoe leseni, najua kuna maneno mengi lakini tukifika hapo pakutoa leseni maana yake tuna uwezo wa kuichukua leseni yetu kwa huyu mtu mmoja ambaye amehusika kutengeneza stori ambayo ina matatizo, lakini chombo kikabaki salama, ni kama ilivyo hospitali, daktari akikosea, hatufungi hospitali, tunamshughulikia daktari hospitali inaendelea kufanya kazi, kimsingi hatuna mpango wakufungia chombo chochote cha habari lakini tuna mpango wa kushughulika na wale ambao wanatupeleka kwenye kutengeneza stori mbaya". Waziri Nape Nnauye

Tangu lini chawa akawa independent?
 
Ni hii EPOCA iliyoleta leseni za YouTube au ni nyingine?
 
"Sheria hii ya mwaka 2016 ambayo mimi niliisimamia nikiwa waziri, imelenga kuifanya tasnia ya habari kuwa taaluma, ukikosea tukuchukulie hatua wewe, na ndio maana tumesema tutoe leseni, najua kuna maneno mengi lakini tukifika hapo pakutoa leseni maana yake tuna uwezo wa kuichukua leseni yetu kwa huyu mtu mmoja ambaye amehusika kutengeneza stori ambayo ina matatizo, lakini chombo kikabaki salama, ni kama ilivyo hospitali, daktari akikosea, hatufungi hospitali, tunamshughulikia daktari hospitali inaendelea kufanya kazi, kimsingi hatuna mpango wakufungia chombo chochote cha habari lakini tuna mpango wa kushughulika na wale ambao wanatupeleka kwenye kutengeneza stori mbaya". Waziri Nape Nnauye
Sheria hii kwa maoni yangu sio nzuri hata kidogo kwani serikali ndo watakaoamua kuwa huyu mwandishi kaandika vibaya na atachukuliwa hatua.Je nani atarudia tena kuandika kile ambacho serikali haitaki?? Kiandikwe tunarudi kulekule.Wayforward wadau wa habari wakae wajadiliane na serikali wawe na board Yao ili atakaekengeuka board hiyo ichukue hatua ili hili swala lisiachiwe serikali pekee ndo ilalamike Kisha itoe hukumu.
 
Kufa kupo kibaya ni kutangulia. Tena kibaya zaidi ni kutangulia kwa kifo cha kizembe kama Cha yule jini wenu.

Alikufa kizembe, kishamba na kijinga sana. Aliendekeza ushirikina wa kujifukiza katikati ya janga la korona. Akafa kizembe kwa korona
Unaposema "Kutangulia" una maanisha nini?

Katangulia kwa kumtangulia nani?

Kwani nani alitakiwa afe mwanzo ila ndio akatanguliwa?
 
Kufa kupo kibaya ni kutangulia. Tena kibaya zaidi ni kutangulia kwa kifo cha kizembe kama Cha yule jini wenu.

Alikufa kizembe, kishamba na kijinga sana. Aliendekeza ushirikina wa kujifukiza katikati ya janga la korona. Akafa kizembe kwa korona

Ukilala ukaamka salama, kuwa na moyo wa shukrani; mrudishie Mungu utukufu wake. Hujaamka salama kwa ujanja wako! Zipo sababu zaidi ya elfu moja za kufa!
 
Ukilala ukaamka salama, kuwa na moyo wa shukrani; mrudishie Mungu utukufu wake. Hujaamka salama kwa ujanja wako! Zipo sababu zaidi ya elfu moja za kufa!
Sababu za yule jini zinajulikana.
.Alijiinua na kujipa umungu.
..Alitoa uhai wa watu wengine bila ya huruma.
Alitukana watu hadharani

Asante Mungu kwa kumuondoa
 
Sheria hii kwa maoni yangu sio nzuri hata kidogo kwani serikali ndo watakaoamua kuwa huyu mwandishi kaandika vibaya na atachukuliwa hatua.Je nani atarudia tena kuandika kile ambacho serikali haitaki?? Kiandikwe tunarudi kulekule.Wayforward wadau wa habari wakae wajadiliane na serikali wawe na board Yao ili atakaekengeuka board hiyo ichukue hatua ili hili swala lisiachiwe serikali pekee ndo ilalamike Kisha itoe hukumu.

Huyo chawa unadhani hata anajua anachokiongea? Anajaribu kulinganisha vitu ambavyo havilinganishiki. Kwa upande mmoja, prescription anayoitoa doctor kwa mgonjwa haihitaji approval ya hospital au chief medical officer kabla ya kufanyiwa utekelezaji. Kwa upande mwingine, hakuna kazi ya mwandishi wa habari inayoweza kuwa published bila ya approval ya editor-in-chief, ambaye ndiyo agent wa publication inayohusika!

Uchawa ni profession kamili.
 
Kufa kupo kibaya ni kutangulia. Tena kibaya zaidi ni kutangulia kwa kifo cha kizembe kama Cha yule jini wenu.

Alikufa kizembe, kishamba na kijinga sana. Aliendekeza ushirikina wa kujifukiza katikati ya janga la korona. Akafa kizembe kwa korona
ID yako tu inakutambulisha ulivyo mjinga! Kubishana na wewe ni kujidhalilisha tu.
 
"Sheria hii ya mwaka 2016 ambayo mimi niliisimamia nikiwa waziri, imelenga kuifanya tasnia ya habari kuwa taaluma, ukikosea tukuchukulie hatua wewe, na ndio maana tumesema tutoe leseni, najua kuna maneno mengi lakini tukifika hapo pakutoa leseni maana yake tuna uwezo wa kuichukua leseni yetu kwa huyu mtu mmoja ambaye amehusika kutengeneza stori ambayo ina matatizo, lakini chombo kikabaki salama, ni kama ilivyo hospitali, daktari akikosea, hatufungi hospitali, tunamshughulikia daktari hospitali inaendelea kufanya kazi, kimsingi hatuna mpango wakufungia chombo chochote cha habari lakini tuna mpango wa kushughulika na wale ambao wanatupeleka kwenye kutengeneza stori mbaya". Waziri Nape Nnauye
Sema we jamaa kama ni mwanatasnia huu uandishi wako hauakisi taswira ya FELLOW LEARNED JOURNALISTS dah hakuna paragraph, mstari wa parandesi.
 
Back
Top Bottom