Sheria gani imefutwa wewe taahira?Shetani wako ndiye aliyezitaka hizo sheria Nape kama waziri hakuwa na namna.
Ndiyo maana hata mama alikuwa makamu wa rais lkn hakuwa na sauti hivi sasa anazifuta sheria za shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria gani imefutwa wewe taahira?Shetani wako ndiye aliyezitaka hizo sheria Nape kama waziri hakuwa na namna.
Ndiyo maana hata mama alikuwa makamu wa rais lkn hakuwa na sauti hivi sasa anazifuta sheria za shetani
Sheria ilitungwa mwaka 2016 hiyo enzi za shetani utekelezaji wake ndiyo uo, Sheria iliyokuwa inataka kufingia chombo cha habari chote ilitungwa miaka ya 1970+Safi sana mhe waziri. Huu ndiyo uongozi Sasa. Siyo kama zile enzi za yule shetani mpenda shari.
Keep on going mhe tuko nyuma yako!
Sheria kibao za shetani zimefanyiwa marekebisho bungeni. Fuatilia bungeSheria gani imefutwa wewe taahira?
no no si jambo la heri tunajua mnataka kuwamiliki waandishi wa habari na kuwatawala milele, habari au makala ni gazeti limeongea na si mtu. Very narrow and useless Nape, pole bado una akili za karne ya Liulo"Sheria hii ya mwaka 2016 ambayo mimi niliisimamia nikiwa waziri, imelenga kuifanya tasnia ya habari kuwa taaluma, ukikosea tukuchukulie hatua wewe, na ndio maana tumesema tutoe leseni, najua kuna maneno mengi lakini tukifika hapo pakutoa leseni maana yake tuna uwezo wa kuichukua leseni yetu kwa huyu mtu mmoja ambaye amehusika kutengeneza stori ambayo ina matatizo, lakini chombo kikabaki salama, ni kama ilivyo hospitali, daktari akikosea, hatufungi hospitali, tunamshughulikia daktari hospitali inaendelea kufanya kazi, kimsingi hatuna mpango wakufungia chombo chochote cha habari lakini tuna mpango wa kushughulika na wale ambao wanatupeleka kwenye kutengeneza stori mbaya". Waziri Nape Nnauye
Na Nyie wafuasi wa Gigi money mnalilia uhuru wa habari?Ameeleweka...
Siyo kama ilivyo sasa, Gigi money kakaacha uchi kwa mapenzi yake, kituo kizima kinafungiwa...