Nape: Sheria ya Habari inalenga kufungia mtu na sio chombo cha habari

Mkuu watanzania tuko wepesi wa kupokea mambo au jambo bila ya kufanya tafakari ya kina.Chukulia kwa mfano serikali haitaki uandike habari za ngorongoro katika mambo hasi wewe kama mwandishi umeandika kitu cha kweli kuhusu ngorongoro lakini Kiko hasi kwa upande wa serikali na hawataki kiandikwe, watamchukulia hatua mwandishi wa habari na ndo utakuwa mwisho wa habari hiyo kwenda kwa umma wa watanzania.Matokeo yake habari zitakazo andikwa ni zile chanya tu kwa serikali.Hapo tutakuwa tuko pale pale.Kwa kuzingatia umuhimu wa vyombo vya habari na Kwa kuwa vyombo vya habari ni mhimili wa nne wa serikali napendekeza pawepo meza huru ya kutatua migogoro ya wanahabari au board ili mwanahabari akikosea meza hii au board imwambie hapa mwenzetu umekosea hivyo unapaswa kupokea adhabu.Hii itaondoa upendeleo kwani serikali haitaweza kumuonea mwandishi kirahisi rahisi tu.
Yapo mengi ya kujikumbusha lakini mfano halisi upo Spensa Lameck aliyekuwa analipoti habari za Mgombea Urais CHADEMA -2015 na amini alifanyiwa vigusu nyingi baada ya uchaguzi ili hali Emannuel Buhohela akila mema ya nchi inauma sana Africa ni Africa tu.
 

Nakubaliana na wewe kwamba njia ni mbili tofauti lakini matokeo ni yale yale.

Hata hivyo, mimi nimejikita zaidi katika kuangazia umbumbumbu wa huyo chawa, Nape. Anafikiri problem ni makosa katika uandishi. Makosa katika uandishi sio tatizo. Kosa ni dissemination of inaccurate article/news report to the public, na hili kosa sio la mwandishi wa habari, bali ni la gazeti husika. Hii ndiyo standard inayotumika kila mahali duniani. Hata anayeshitakiwa kwa defamation ni gazeti, sio mwandishi per se.

Mwandishi hata akiandika ugoro wa aina gani, no one cares akibaki na ugoro wake kwenye mikoba yake. Kwahiyo, ultimately, kosa ni la yule atakaye usambaza huo ugoro kwa umma!
 
Hii sheria anayosema Nape ni ya kichakani. Ajifunze kwa wengine; chombo cha habari kikitoa taarifa isiyo ya ukweli hashitakiwi mwandishi wa habari ile binafsi bali kinachoshtakiwa ni chombo cha habari chote. Mwandishi kazi yake ni kukusanya habari tu, anayetoa habari kwa umma ni chombo chenyewe, ambacho kinatakiwa kiwe na newsroom na editorial board ya watu makini. Mwandishi anaweza kuadhibiwa na chombo chake chenyewe kwa kuwapelekea habari isiyo ya kweli, lakini anayefanya makosa ya kutoa habari za uongo ni chombo husika. Editorial rooms za vyombo vyenyewe ni hao akina baba levo, wakitoa habari yenye kashfa lazima washughulikiwe. Sema tu kuwa adhabu ya kufungia chombo chote siyo shihi kabisa lakini lazima chombo kiadhibiwe bila kukifungia biashara.

Mifano ya michache hivi karibuni ni kama ifuatayo:

(a)The Washington Post sued by family of Covington Catholic teenager
(b)CBS Sued Over Portrayal of Torture Device on ‘Evil’
(c) New York Times defends itself against Project Veritas defamation suit
 

Nape ni kilaza sana. Chawa mkubwa huyo!
 
Nape nawe utakufa Kama wengine na utahukumiwa. Tenda haki ili hukumu yako iwe njema
 
Naona vijana wadogo wanashangilia wakati muhusika wa tukio anapogeuka kuwa mshehereshaji.
 
Asan
Nakubaliana na wewe kwamba njia ni mbili tofauti lakini matokeo ni yale yale.

Hata hivyo, mimi nimejikita zaidi katika kuangazia umbumbumbu wa huyo chawa, Nape. Anafikiri problem ni makosa katika uandishi. Makosa katika uandishi sio tatizo

Kimsingi hapa Mnvinyo ni ule, ule ila katika chupa tofauti na ndiyo sisi wengine tunaona Sheria hii sio rafiki kwa vyombo vya habari.Bahati mbaya watanzania tunasahau mapema sana.
 
Sababu za yule jini zinajulikana.
.Alijiinua na kujipa umungu.
..Alitoa uhai wa watu wengine bila ya huruma.
Alitukana watu hadharani

Asante Mungu kwa kumuondoa
Hongela kwa kuwa wewe utakufa kwa kujipangia ufe vipi na kwa ushujaa maana agano na mungu unalo.
 
Safi sana mhe waziri. Huu ndiyo uongozi Sasa. Siyo kama zile enzi za yule shetani mpenda shari.

Keep on going mhe tuko nyuma yako!
Wewe n taahira sheria imetungwa 2016 waziri akiwa Nape na JPM akiwa Rais! Sasa wewe unaakali au taahira!
 
Huyu tunamwambia makampuni yasimu yanatuibia bando anatetea ujinga...akwende huko akalime korosho sijui amerudi kufanya nini!!
 
Wewe n taahira sheria imetungwa 2016 waziri akiwa Nape na JPM akiwa Rais! Sasa wewe unaakali au taahira!
Shetani wako ndiye aliyezitaka hizo sheria Nape kama waziri hakuwa na namna.

Ndiyo maana hata mama alikuwa makamu wa rais lkn hakuwa na sauti hivi sasa anazifuta sheria za shetani
 
Hiyo imekaa vizuri, mtunga umbeya ashughulikiwe yeye Kama yeye, siyo familia nzima ihukumiwe kwa umbeya wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…