Nape: Sheria ya Habari inalenga kufungia mtu na sio chombo cha habari

Shetani wako ndiye aliyezitaka hizo sheria Nape kama waziri hakuwa na namna.

Ndiyo maana hata mama alikuwa makamu wa rais lkn hakuwa na sauti hivi sasa anazifuta sheria za shetani
Sheria gani imefutwa wewe taahira?
 
Safi sana mhe waziri. Huu ndiyo uongozi Sasa. Siyo kama zile enzi za yule shetani mpenda shari.

Keep on going mhe tuko nyuma yako!
Sheria ilitungwa mwaka 2016 hiyo enzi za shetani utekelezaji wake ndiyo uo, Sheria iliyokuwa inataka kufingia chombo cha habari chote ilitungwa miaka ya 1970+
 
no no si jambo la heri tunajua mnataka kuwamiliki waandishi wa habari na kuwatawala milele, habari au makala ni gazeti limeongea na si mtu. Very narrow and useless Nape, pole bado una akili za karne ya Liulo
 
Ameeleweka...

Siyo kama ilivyo sasa, Gigi money kakaacha uchi kwa mapenzi yake, kituo kizima kinafungiwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…