Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Hii biashara kuwa mikononi mwa watu binafsi kunaathiri kwa namna yoyote thamani ya pesa yetu na akiba yetu ya pesa za kigeni?
Lililofanyika wakati wa JPM lilikuwa sahihi kwani maduka ya fedha yalitumika na wafanyabiasha kununua fedha za kigeni na kuweka majumbani. BOT zinarudi shilingi tu. Zinapohitajika za kigeni inabidi wanunue kwenye mabenki ya nje, ambapo shilingi inashuka thamani
 
Tangia Magufuli afe hela ya Tanzania imeimarika sana
Shilingi ya Kenya ambayo ilifika 22 sasa ni 18

Kupanda kwa dola ni ishu ya demand and supply tu, dola zikija nyingi nchini kutokana na utalii, mauzo ya nje na uwekezaji Shilingi inapanda, zikipungua shilingi inashuka.

Uchumi ni akili sio manguvu
Wewe huna kumbukumbu nzuri. Usd ilishuka mpaka 2250 kwa tzs, angalia mwaka tu tumerudi 2,340
 
Gaidi kuwa mbunge ni dalili kuwa tume ni huru? Kwenye soka kuna mfumo wa VAR, huo mfumo ni wa nini iwapo bingwa alikuwa bado anapatikana? Punguza utoto dogo.
Hawa jamaa waje washinde uchaguzi leo watasema tume ni huru
 
Kwenye awamu Ile hakuwa peke yake, Kuna wasaidizi waliokuwa sambamba na yeye wakimsaidia kufanya hayo yaliyofanyika Kwa miaka aliyotumikia.

Iweje waliosaidia ujambazi waonekane Leo wao wa maana sana Isipokuwa mmoja. Mbona hatukuona wakikaa pembeni kupinga ujambazi uliofanya na mmoja?.

Kwangu Mimi ni kama panya kungw'enya na kupuliza.
Nashangaa mimi mambo yote haya anaambiwa jpm wakati aliyekuwa Waziri wa fedha yupo na haulizwi, aliyekuwa VP pia yupo, PM ni yule yule. Tuna sjida gani sisi watanzania
 
Nashangaa mimi mambo yote haya anaambiwa jpm wakati aliyekuwa Waziri wa fedha yupo na haulizwi, aliyekuwa VP pia yupo, PM ni yule yule. Tuna sjida gani sisi watanzania

Kwa katiba hii rais ni mungu mtu, anaweza kufanya lolote bila kuwashirikisha hao walio chini yake. Na hata wakiulizwa na kuamua kuweka kila kitu hadharani, mtasema wanataka kuharibu legacy ya dhalimu.
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta
Ndiyo maana watu wanaomshangilia JK na genge lake huwa nawashangaa sana.Huyu ndiyo aliyefanya kazi ya Urais na Uwaziri ionekane ni ya kawaida,kwamba anybody can either be a President or Minister provided ana uwezo wa kujikomba kwa wakubwa.Nadhani tulimsikia Samia akilalamika juu ya watu kuwa na Ma-Godfather serikalini.
Hivi watu kama Nape ata akienda kwenye vikao vya kimataifa atachangia nini mbaya zaidi kapewa Wizara nyeti sana!
Pathetic!
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta
Ndiyo maana watu wanaomshangilia JK na genge lake huwa nawashangaa sana.Huyu ndiyo aliyefanya kazi ya Urais na Uwaziri ionekane ni ya kawaida,kwamba anybody can either be a President or Minister provided ana uwezo wa kujikomba kwa wakubwa.Nadhani tulimsikia Samia akilalamika juu ya watu kuwa na Ma-Godfather serikalini.

Hivi watu kama Nape ata akienda kwenye vikao vya kimataifa atachangia nini mbaya zaidi kapewa Wizara nyeti sana!
Pathetic!
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".

Ndiyo maana watu wanaomshangilia JK na genge lake huwa nawashangaa sana.Huyu ndiyo aliyefanya kazi ya Urais na Uwaziri ionekane ni ya kawaida,kwamba anybody can either be a President or Minister provided ana uwezo wa kujikomba kwa wakubwa.Nadhani tulimsikia Samia akilalamika juu ya watu kuwa na Ma-Godfather serikalini.
Hivi watu kama Nape ata akienda kwenye vikao vya kimataifa atachangia nini mbaya zaidi kapewa Wizara nyeti sana!
Pathetic!
 
Makampuni ya simu yanatudhulumu yeye anaongelea sekta nyingine!
 
Back
Top Bottom