Karibu kwetu mkuu Mimi ni mpare na hapo masandare ni karibu na same sec wapare wanaheshima Sana.
[/QQUOT
MASANDARE dah umenikumbu 1994 nimesoma same secondary. Ilikuwa sehemu twaenda pata mademu. Niliacha mtoto itabidi nikiwa naenda Moshi nipitie
Bado miaka 13 akuacheAcheni kukatisha tamaa, mbona hata mimi nimeoa Mpare mwaka wa saba huu na twaishi bila shida?Chagua mke mcha mungu utaifurahia ndoa yako vzr
[emoji3516]Udhaifu wa wapare ni umalaya uliokithiri na kupenda ushirikina Sana, pia jiandae ndugu wa mke kuamia kwako bila aibu
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe seneta acha hzo[emoji3516]
WEWE UMETUMWA KUJA KUVURUGA KAMPENI ZA CHAUMMA,
CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI WEWE!!!
[emoji51][emoji51][emoji51]
Ndiyo wewe umeandika kwa herufi ndogo zote, kitu ambacho ni makosa.Kwani nimeandika tofauti na ulivyoandika?
[emoji3516][emoji23][emoji23][emoji23] wewe seneta acha hzo
Jamaa wachumi balaa,yaani 2m halafu unakula makande?,hiyo sio fair kabisa.Wamepata mtaji tayari.Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Nshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?Udhaifu wa wapare ni umalaya uliokithiri na kupenda ushirikina Sana, pia jiandae ndugu wa mke kuamia kwako bila aibu
Hawa ni wapare ninao wafahamu huku kitaaMi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu
Hahaaa inabidi zimwage tu mficha Uzi hazai sikuhizi Mambo yote mubashara[emoji3516]
HAIWEZEKANI UMWAGE MBOGA KIASI HICHO!!!
SPANA KAMA HIZO HAZIFAI HADHARANI!!!
[emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Sasa unamtukana nani?Pumbavu.
Kwa hiyo Wasabato ndo Watakatifu??Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe[emoji444][emoji444]kawimbo kazuri sanaNimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Kwahiyo 2m humohumo umelipa na mahariWakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Nshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Unalalamika nini,wakti umempenda mwenyeweImebidi niwapeleke niliokuja nao toka Dar pale Same mjini angalau wale chakula Cha maana na vinywaji. Aisee upareni Majanga
Dubai wanapikia wageni Makande na Azam Cola?Upareni ni Dubai ndogo