Nyie mmezidi Kuna mmoja kaolewa kahamishia ukoo kwa mumewe na hivi huko mnajua madawa ya libwata hatari SanaTuachie dada zetu waolewe bwana, hiyo ya kuhamia kwa sasa haina kabila. Hata "huko kwenu" wanahamia kwa dada zao ni balaa. Au unasemaje bi Cariha!
Sio kweli kabisa, ukiweza fanya uchunguzi kidogo utajua. Same na Mwanga tofauti sana, hata lafudhi zetu tofauti sana, hata imani za kidini tofauti pia.[emoji23][emoji23] wote Wala wale wawe wa milimani au Mwanga
Kabisa hapo ni ibada kwa sana mana ndoa zina mambo mengi sanaMuhimu hapo amtangulize Mungu ktk maisha hayo ya ndoa kila kitu kitakaa vizuri.
Lakini si ndugu mmoja hao hao wajameni watu wa asili mojaSio kweli kabisa, ukiweza fanya uchunguzi kidogo utajua. Same na Mwanga tofauti sana, hata lafudhi zetu tofauti sana, hata imani za kidini tofauti pia.
Mbona nyie machame, rombo, nk mnakana sio ndugu mmoja.Lakini si ndugu mmoja hao hao wajameni watu wa asili moja
Hao wote ni wachagga tu regardless wako sehemu ganiMbona nyie machame, rombo, nk mnakana sio ndugu mmoja.
Yaani sana tu,bila Mungu huwezi kufika mbaliKabisa hapo ni ibada kwa sana mana ndoa zina mambo mengi sana
Alikuwa amevuta ndumu?Ukweni wameomba radhi kwa kilichotokea Jana wanadai mjomba Rajabu ndo alilazimisha papikwe Makande badala ya pilau, vinginevyo angevua nguo hadharani
Ooh mm 2008Advance 2007 mpka 2009
Enz za nicodemusAdvance 2007 mpka 2009
Eeh synagogy1Lile Bweni la Cynagogy bado lipo?
Kwa hip Tanzania nzima wapare tu ndio wanafanya hivi?Nyie mmezidi Kuna mmoja kaolewa kahamishia ukoo kwa mumewe na hivi huko mnajua madawa ya libwata hatari Sana
Sio wote but most of them kwa kweli some are not practicing, saint ivuga I'm sorry ooh for generalizingKwa hip Tanzania nzima wapare tu ndio wanafanya hivi?
Wewe sio malaya? Au wachaga wenzio wote waaminifu?Udhaifu wa wapare ni umalaya uliokithiri na kupenda ushirikina Sana, pia jiandae ndugu wa mke kuamia kwako bila aibu