financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Dah sasa hizo huwa unazifanyia nini mkuu? Kuna vitu vinafurahisha mara uwazi mara dimples za kiuno😂🙌Inaitwa intergluteal cleft.. mara nyingi huwa wanazo wanawake wembamba.
Mimi pia ni ugonjwa wangu huo japo hauzidi ule wa dimples za makalio, nikiziona basi wachaga wapo njiani[emoji16]View attachment 1813384
Kila mtu na matamanio yake😋😋😋Wacha bhana 😁😁😁umetisha Chief
Wala sijui unanigusa...kzazKabisa
Mambo ni mazito finaDah sasa hizo huwa unazifanyia nini mkuu? Kuna vitu vinafurahisha mara uwazi mara dimples za kiuno😂🙌
Wacha bhana 😁😁nilikuwa sijuiKila mtu na matamanio yake😋😋😋
Yaani ni mshangao ningewaelewa kama wangesema lips kama hizo zako maana ni kweli zinaonekana nzuri ila dimples za kiunooo🙌😂Mambo ni mazito fina
Macho ya wanaume yanatisha sana[emoji16][emoji16][emoji16]Dah sasa hizo huwa unazifanyia nini mkuu? Kuna vitu vinafurahisha mara uwazi mara dimples za kiuno[emoji23][emoji119]
Hii hapana[emoji848]View attachment 1813529
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]Wacha bhana [emoji16][emoji16]nilikuwa sijui
Ndo maana mi nasemaga hayo magepu ya mapaja Ni upuuziHii hapana
Wanataka kutuua hawa wanaume kwa stress hakuna kingine.wanatafuta sababu ya kuchepuka.Yaani ni mshangao ningewaelewa kama wangesema lips kama hizo zako maana ni kweli zinaonekana nzuri ila dimples za kiunooo🙌😂
Huu nao ni udhalilishaji.Binafs
Sipendi izo thigh gap KABISA.
Asilimia kubwa hawanaga joto hao.
Napenda ibanwe banwe na mapaja afu ivimbe kwa mbele Kama hivi kwa cardi B[emoji116]View attachment 1813462
Huyu atakuwa na mifupa mitupu.[emoji848]View attachment 1813529
Kwa hiyo mnafanya hivo kumfurahisha mwanaume??Wanataka kutuua hawa wanaume kwa stress hakuna kingine.wanatafuta sababu ya kuchepuka.
Utasikia Ohoo napenda dimpoz,mara mdomo mdogo,hujakaa Sawa mara mguu wa bia,hujatulia mara blackbiuti..
Hakyamama nyie wanaume mtatutoa roho
Pumbavu na nyie acheni kutamani tamani hovyo.Kwa hiyo mnafanya hivo kumfurahisha mwanaume??
Pumbavu kabsaa acheni ujinga wenu
Jikubali uishi maisha yako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lakini mimi bado nasisitiza. Ukitaka kuwa na amani na furaha katika maisha yako ya ndoa basi mpende mtu kwa sababu "mnaelewana" na kamwe usimpende kwa sababu ya "muonekano" wake.Pamoja na yooote hayo wanawake weusi wenye shape za kibantu hawajawahi kuchuja na wala kuwa defeated pahala popote.