Yaani na hapa tulipofikia tumejitaidi sana.tuombeeni tupige hatua nyingine.wenyew hatupendi kutamani hovyo ni vile iko nje ya uwezo wetu
Punguza wenge Chief.
Sio wenge mkuu nipo serious kabsaaPunguza wenge Chief.
We mtoto tupishe wakubwa tuongeeWakubwa hadi saa sita hii mnajadili uwazi.
🤬🤬🥵😡😡🤬🤬👎👎👎👎👎
Mkuu ebu kuwa serious Bas[emoji35][emoji35][emoji3062][emoji3062]
[emoji2959][emoji2959][emoji3062][emoji35][emoji35][emoji2959][emoji2959][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Una wenge sana.jitahidi kulipunguza uingie mbinguniMkuu ebu kuwa serious Bas
Fungua pm bhana tuongee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa dearUna wenge sana.jitahidi kulipunguza uingie mbinguni
Wanaume hatuna mambo mengi sana kama akina dada. Vitu vidogo tu kama hivi ndio ugonjwa wetuWanaume vitu vinavyowavutiammmh vya kawaida sana
Mmmm! wewe ugonjwa wako ni wakupenda wagonjwa wa vilema va MATEGE.Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].
Wewe pia unavutiwa?
Ni ngumu sana kumpenda mtu sababu mnaelewana,upendo huu haupo sababu,huanza upendo kwanza kwa zile sifa anuai kisha maelewano hufata.Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Hahahahahaha kumbe kuna matege ya juu?Kwahiyo roho yako inapenda matege?
Hujui kuwa ni matege ya juu hayo.
Space iliyonzuri ni kama hii....Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].
Wewe pia unavutiwa?
Aisee kuna watu Mungu ameumba, ona melanin hiyo.Space iliyonzuri ni kama hii....View attachment 1813841
Huyu unaoa kabisa mkuu..Space iliyonzuri ni kama hii....View attachment 1813841
Mkuu nikisema: ndio mwandani wangu, utaniamini?Huyu unaoa kabisa mkuu..
Kwa nini nisiamini mkuu?! Nikupongeze tu maana ni bahati iliyoje mzee?! Lakini kama ni mwanandani wako, dah mkuu hapo umehit jackpot. Perfect in every angle.Mkuu nikisema: ndio mwandani wangu, utaniamini?
Pamoja na swagger, lakini space tosha.Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].
Wewe pia unavutiwa?