Napenda kujua kwa namna gani mashushushu duniani wanaweza kutambuana

Halafu ni wapi wanasomea hii kitu jamani? Navutiwa na kuwa shushushu
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Halafu ni wapi wanasomea hii kitu jamani? Navutiwa na kuwa shushushu
kwa nchi yetu,watakutafuta wenyewe,unaweza ukawa shule wakakustudy na kuona unafaa,ukawa informer,baadae ukapata training na kuendelea,
kama tu unataka kuwa detective si unaanzia polisi then unaweza kuwekwa criminal investigation,

kwa nchi kama marekani wao unaweza kuapply,

How to Become a CIA Agent | CIA Agent Education
 
They are damn sick.
 
Aisee
 
The only way Mashushushu wanaweza kutambuana ni pale wanapoingia wote kwenye operesheni katika eneo moja au wanapowindana. Shushushu akiwa kwenye operesheni lazima akifika sehemu asome mazingira. KAtika kusoma mazingira anaweza kuona kwamba kuna mtu ana characteristic fulani ambazo zipo out of place katika watu waliopo pale anaweza akawa yupo too careful au amejiposition mkao fulani wa kuzuga..
 
Wanajuana sna tu tena kikawaida Mashushu usifikir ni kundi kubwa la watu hapana hiyo ninkazi inayohitaji usiri mkubwa na ndyo maaana ni watu wachache ambao kujuana ni rahisi kila mkoa wapo na wanajuana kawaida tu
 
Mie nikiona kavaa kaunda suti kaweka na pen kwenye shati kisha kanyoa ndevu zote na nywele kapiga unga nakimbia fasta hapo maana utakuwa unadukuliwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…