Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine 🍷, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16°C

Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine 🍷, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16°C

Wale wa konyagi kavu tujuane

Kwakweli mimi ngumu yoyote nikichanganya inakua haina ladha iwe k vant, konyagi, black&white, Bumbu, grants, jd, napiga kavu tu kikubwa funda moja husindikizwa na maji nakua poa sana na siku ya kupiga viwine basi napiga peke yake pia sichanganyi, maana michanganyiko mara club soda, mara wine na spirits, niliona ni mizinguo tu, mchawi maji mengi unakojoa na kuflash kila kitu
 
Gari inapoanza kuishiwa maji, ndipo uanza kuchemsha, na usipolidhibiti litaunguza mifumo ya ndani na kuzima; ni hivyo hivyo kwa binadamu, punguza sumu, unauchosha mwili, utazima.

Zamani nilikuwa natumia pombe kali, ila nilikuja kuacha baada ya kunywa wine sant anna na heineken 4 mwaka 2010, kesho yake nikiwa safarini macho yalizima, kwenda hospitali ikaonekana chanzo ni pombe.

Baada ya kutibu tatizo, wakanishauri niwe natumia bia tu.​
 
Pole sana Nazjaz nimeanza kunywa pombe na miaka 15 sasa ni miaka sitini kasoro naitafuta .

Hiyo hali yako sio nzuri sana kwa sasa hivyo napenda kukushauri kitabibu sio kimtaa kama vile kila mtu anavyodai .

Ukiweza anza kwa kupunguza kiasi cha pombe uchukuayo ila jaribu kupima kilo zako na kunywa maji kulingana na kilo zako husika .

Japo ningefurahi kama ungeweza kujipumzisha walau mwezi mzima ili nikueleze ni nini ufanye kuusafisha mwili na via vya mwili wako ili basi ukianza uanze katika kile kiasi sahihi .

Najua ni vigumu kukurupuka kuacha ila jitahidi kupunguza japo maji kwa wingi kulingana na uzito wako .

Nakushauri kitabibu kuna watu watakuja kunisema mimi mbona sijaacha ila najitahidi pia hivyo fuata ushauri wangu sio hao .

Daktari by proffession na pia addicted person wa shida kama yako so mimi na wewe ni wagonjwa ila mimi nimetangulia kutumia dawa kabla yako.
 
Kapime liver function na figo
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Pussie haiendi wet in due course?
 
Tatizo la moyo Hilo..na liko stage ya kati...wahi matibabu
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Siyo ujanja wala Sifa. Acha kunywa Pombe. Alcohol is a Social Trap. Pia jiandae na magonjwa ya Ini, figo, kisukari nk.
 
Back
Top Bottom