Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wa konyagi kavu tujuane
Mkali wa hizi kazi😅Welcome to the world of liquor!😊
Ni hali ya kawaida endelea kuenjoy mkuu!..cheers🥂
Naam😊🥂Mkali wa hizi kazi😅
Risk taking women tunakutana na magumu sana na hujui umwambie nani? Then you decide to talk to mapombeAm sorry for your situation but you can't solve problem by taking alcohol zaidi unajiongezeaRisk taking women tunakutana na magumu sana na hujui umwambie nani? Then you decide to talk to mapombe
Nauza Figo Dada we njoo PM
Anza kuandika uridhi hizo dalili mwendo umemaliza mkuu,(jokes)pole sana mkuu ndugu yanguNahisi joto kali hadi nakosa usingizi
Really?
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Pussie haiendi wet in due course?Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Hongera sana mkuu Mimi nikipiga Soda tuu natoka jasho hadi shati linaloa...Nimeweza kuacha soda aina zote ni mwendo wa kunywa maji tu
God is good
Siyo ujanja wala Sifa. Acha kunywa Pombe. Alcohol is a Social Trap. Pia jiandae na magonjwa ya Ini, figo, kisukari nk.Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.