Semere92
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 577
- 777
AlooohKonyagi haina hangover ,haina njaa nk
Ukijaribu k vant unaweza kula hata godoro au nguo [emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlooohKonyagi haina hangover ,haina njaa nk
Ukijaribu k vant unaweza kula hata godoro au nguo [emoji28][emoji28][emoji28]
Dada unatukosea sana waumini wa 'VANT'....Naogopa sana K Vant, nahisi ni pombe isiyo na vipimo hasa ukichanganya na hayo ma energy ni hatari sana
Mmh hapana kabisa.. Double kick uliwahi jaribu kwenye mixer ?
Hiki ni kifoKuna wengine wanachangahivi je hii inakuaje ki afya
Jukwaa huru kila tu na maoni yakeAcha kupotosha watu , kam inamletea madhara Kwann aendelee kuitumia japo anaipenda....ponder about impact ya kitu hicho haijalish anaipenda kwa kiwango gani?
Hahjajajajaja mbona muyukrein wa buzaHongera dogo kwa kukaanga figo na maini au unayoyaspea, unajikuta mrusi wa buza sio.
Duh, sasa itakuwaje, maama K vant ni member!!?Dada unatukosea sana waumini wa 'VANT'....
Inatengenezwa wapi? Mbona jina linavutia hivyoTafuta kuna wine mpya inaitwa Dolce Afrique hutajutia
😂😂😂😂😂 Teacher acha uoga bhanaMungu akupiganie dear,konyagi siyo nzuri kiafya inaunguza ini Moja Kwa Moja....kusikia joto huenda ni dalili ya kuanza kuathiriwa
😂😂I do know ooo sikuachi kwa nini!?Dear gambe