Napenda sana majirani wa aina hii

Napenda sana majirani wa aina hii

Una roho mbaya sana wewe jamaa,
Bila shaka huna mtoto,

Kwanza ulikosea toka mwanzo kua unampiga yule mtoto mkubwa,ungewaelimisha tu kua wapendane na wasipigane kwani wao ni ndugu,kama wasingekusikia ungemtaarifu Mama yao kuliko kuwapiga,

Hata kama Mama yao alikukataza kuingilia ugomvi wa watoto wake ila kitendo cha mmoja kumchoma kisu mwenzake ulitakiwa utoe msaada kwa huruma ya huyo mtoto na sio kwa kufuata maneno ya yule Mama,huyo mtoto ni mtoto wa taifa ndio maana hata kumuua mtoto wako ni kosa la jinai,hata kujiua ni kosa la jinai,

Umekosea sana,kama mtoto kaharibiwa jicho,sio tu hasara kwa huyo Mtoto na Mama yake bali ni hasara kwa taifa pia,kumbuka watoto ndio taifa la kesho,

Mungu akusaidie kukupunguzia hiyo roho mbaya na roho ya visasi.
Ila binadamu tunatofautiana ujue,,juzi kati tu tulikuwa katika gari ndogo tukamkanyaga mbuzi akavunjika uti wa mgongo dah niliumia vibaya mno,,tukamlipa jamaa fidia na kuwaomba wamchinje chap kuondoa maumivu kwa kile kiumbe

Hlf kuna mtu hana huruma na watoto kabisa daah
 
Kaka hili utalilipia kwa kujua Au bila kujua.
Una bahati hakuna kifo hapo.
Huwezi Acha watoto wanaumizana eti kisa mama Yao alikufokea.Wanawake wanahasira za karibu sanaa anaweza akatamka neno hapo na asiwe amemaanisha. Wanawake ni wagumu sana kuomba msahaha pia ujue Hilo ni nature yao.
Hukupaswa pia kumpiga yule mtoto mkubwa Makonzi, ulipaswa kuchukua nafasi ya baba hata Kama wale sio wanao.Ungewaita na kwenda nao dukani ukawanunulia pipi ukaanza kusema nao wapendane,Ungemsihi mkubwa amlinde mdogo wake na mdogo amlinde mkubwa ungebarikiwa mno.Kutoa adhabu ulizidisha chuki kwa watoto hawa.

Unapata wapi ujasiri watoto wanaumizana wewe unaenda kufanya uzinzi?hapo kwenye tendo la ndoa ulilofanya ikitokea mimba imetunga unafikiri mtoto atakua na Roho gani.
Omba Toba kaka kwa Mungu

Samahani kama nimekukwaza pia.
 
Mimi naingia kitaa mara dogo kaokota jabali na kunipiga nalo akakimbilia kwa mama. Loo jiwe si likanipiga kwenye paji na dogo alifanya maksudi. Nilikafata mpaka alipomfikia mama yake nilipomueleze mama si kumtetea mwanae wala hata kumuadhibu hakuona haja wala samahani hakuna. Mi sio fala chap kituoni tukutane na bili za hospitali. Mama alijuta mana alinilipa hadi na usumbufu. Na kabla hapo niliwahi ona akimwambia mzee mmoja akome kuwachapa wanae
 
ungeenda kutoa msaada wowote wewe ndo ungebebeshwa lawama ungeambiwa wanangu hawana tabia ya kushikiana kisu itakuwa ni hujuma zako hao wanawake wanao wapenda watoto wao kupita kiasi sio wa kumin kbs
 
Kaka hili utalilipia kwa kujua Au bila kujua.
Huwezi Acha watoto wanaumizana eti kisa mama Yao alikufokea.Wanawake wanahasira za karibu sanaa anaweza akatamka neno hapo na asiwe amemaanisha. Wanawake ni wagumu sana kuomba msahaha pia ujue Hilo ni nature yao.
Hukupaswa pia kumpiga yule mtoto mkubwa Makonzi, ulipaswa kuchukua nafasi ya baba hata Kama wale sio wanao.Ungewaita na kwenda nao dukani ukawanunulia pipi ukaanza kusema nao wapendane,Ungemsihi mkubwa amlinde mdogo wake na mdogo amlinde mkubwa ungebarikiwa mno.Kutoa adhabu ulizidisha chuki kwa watoto hawa.

Unapata wapi ujasiri watoto wanaumizana wewe unaenda kufanya uzinzi?hapo kwenye tendo la ndoa ulilofanya ikitokea mimba imetunga unafikiri mtoto atakua na Roho gani.

Samahani kama nimekukwaza pia.
Nimeipenda hii

Huyu sio wa kumuomba samahani kuwa umemkwaza,,inatakiwa dawa imuingie ili next time awe na akili timamu
 
Kaka hili utalilipia kwa kujua Au bila kujua.
Huwezi Acha watoto wanaumizana eti kisa mama Yao alikufokea.Wanawake wanahasira za karibu sanaa anaweza akatamka neno hapo na asiwe amemaanisha. Wanawake ni wagumu sana kuomba msahaha pia ujue Hilo ni nature yao.
Hukupaswa pia kumpiga yule mtoto mkubwa Makonzi, ulipaswa kuchukua nafasi ya baba hata Kama wale sio wanao.Ungewaita na kwenda nao dukani ukawanunulia pipi ukaanza kusema nao wapendane,Ungemsihi mkubwa amlinde mdogo wake na mdogo amlinde mkubwa ungebarikiwa mno.Kutoa adhabu ulizidisha chuki kwa watoto hawa.

Unapata wapi ujasiri watoto wanaumizana wewe unaenda kufanya uzinzi?hapo kwenye tendo la ndoa ulilofanya ikitokea mimba imetunga unafikiri mtoto atakua na Roho gani.

Samahani kama nimekukwaza pia.
Uwanunulie Pipi? Alafu baadaye wakiumwa tumbo mama yao aseme umewalisha uchafu.

Kumbe Baba atakiwi kutoa adhabu? Kumbe Baba akitoa adhabu amazidisha chuki baina ya watoto?

Alafu nature nature nature, hiyo kauli ndipo wanapojificha. Kila binadamu ana wajibu wa kujifunza mambo, kijirekebisha.
 
Back
Top Bottom