Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Well Noted Mkuu..Fanya kazi wewe, acha kubwabwana mtandaoni. Haya unayoandika yatakugharimu muda si mrefu. Hatuwezi kuwafumbia macho wapumbavu wachache wanaotaka kuichonganisha serikali na wananchi wake, HATUWEZI.
Nyerere ndio rais wa kwanza wa nchi hii, JPM ni watano. Huwezi kuiongelea Tanzania bila ya kuwaongelea waasisi wake.weye naona umekaririshwa. Ongea mengine. Hilo la Nyerere ulishalisemea. Kifo cha Nyerere siyo msingi wa kifo cha Magufuli kutochunguzwa. Kila jambo lina mwisho wake.
Wafuasi wengi wa magufuli, ni zaidi ya misukule! Inashangaza sana. Na kama angeendelea kutawala, huenda kuna watu wangemgeuza kabisa kuwa mungu.Vifo vya Nyerere na Mkapa havikuchunguzwa huyo JPM alikuwa na utakatifu upi wa kipekee?.
Nyerere alifia hospitalini Uingereza kama kuuwawa yeye angekuwa wa kwanza.
Narudia kukwambia, ondokana na dhana nyingi kichwani mwako hazikusaidii.
Ni kweli kabisa. Kisichunguzwe kifo cha Sokoine, kisichunguzwe cha Nyerere, kisichunguzwe cha Omar Ali Juma kije kichunguzwe cha Magufuli?.Wafuasi wengi wa magufuli, ni zaidi ya misukule! Inashangaza sana. Na kama angeendelea kutawala, huenda kuna watu wangemgeuza kabisa kuwa mungu.
JPM alikuwa mzalendo sana lakini alikuwa ni binadamu tu wa kawaida mwenye matatizo ya kiafya kama binadamu wengine wote.Huyu boys tumchngeze kwa lipi kama ni hivyo tuanze na Mkapa
Haijalishi sijaja hapa kwa story za Nyerere, Naunga mkono hoja iliyotolewa kuwa iundwe tume Huru kuchunguza kifo cha Magufuli.Nyerere ndio rais wa kwanza wa nchi hii, JPM ni watano. Huwezi kuiongelea Tanzania bila ya kuwaongelea waasisi wake.
Ni sawa umpe umuhimu mtoto wa tano wakati wa kwanza mpaka wanne wapo.
Inaelekea wewe ni bwana mdogo wa miaka hii ya Hayati Magufuli, huna uzoefu wa Tanzania pana.
Huyu boys tumchngeze kwa lipi kama ni hivyo tuanze na Mkapa
Hiyo tume usitegemee kusikia imeundwa. Haina sababu wala msingi.Haijalishi sijaja hapa kwa story za Nyerere, Naunga mkono hoja iliyotolewa kuwa iundwe tume Huru kuchunguza kifo cha Magufuli.
Na hoja ni kuunda tume basi. hayo ya Nyerere kuwa nayo mwenyewe.
Tatizo la wafuasi na wanufaika wa utawala wa magufuli, hawakuwahi kumchukulia mtukufu wao kama mwanadamu ambaye anaweza kufariki muda wowote ule!Huyu boys tumchngeze kwa lipi kama ni hivyo tuanze na Mkapa
Hawa ni MATAGAJamani...si tulikubaliana mtu akifa na lake halipo?
Ni hawa wanaopinga kila kinachofanyika leo hii wakisema mama hafai wakati hayati alimtegemea kama msaidizi wake kwa muda wote wa urais wake.Tatizo la wafuasi na wanufaika wa utawala wa magufuli, hawakuwahi kumchukulia mtukufu wao kama mwanadamu ambaye anaweza kufariki muda wowote ule!
Waliamini angeishi miaka mingi! Lakini ndiyo hivyo tena. Mwenyezi Mungu alimtwaa kabla ya muda walio utarajia. Na sasa hawataki kuukubali ukweli. Sijui wanataka uchunguzi wa aina gani! Na kwa akili zao fupi, wanatarajia kupata majibu wanayo yataka!! Hopeless kabisa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf raha sana,.Waliomuua mwendakuzimu wanapaswa kupewa zawadi ya mabikira 7 kwa mpigo make walifanya kazi tukufu.
Yatakapo mkuta asijekusema hakuambiwaYaaah na ndo wapiga kura halisi, pia wahudhuriaji kampeni, safari hii 2025 huyu mama atapiga kampeni sijui wapi na chama chake.
Ni heri aanze kusafisha kwa kutembelea wananchi.
Acha Tudemke Na Mama Sasa HiviMie nshammis mbwembwe zake..
Mama anatudekeza had rahaAcha Tudemke Na Mama Sasa Hivi
Kuchanjwa Ni Hiyari π πππππ
Mwafaa!!!
Sasa Hivi Tumerudi Kwenye Pesa Ya Mboga Millions 50Mama anatudekeza had raha
Itabidi hata cha Mzee wetu MkapaHabar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.
Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hio apo chini.